Recent content by GRM

  1. G

    Chama kipi unakipenda zaidi Kati ya CCM na CHADEMA?

    Sasa nichagulieni na mimi niseme chama gani?
  2. G

    Jacqueline Wolper Massawe: Ali Kiba ndio alionifunza mapenzi

    Lakini Wolper atueleze magari ameyarudisha au bado anayo
  3. G

    Utamu wa Mke wa Mtu ni balaa

    Mbona aliyefumaniwa amefungwa pingu? Ugoni kwetu si jinai bali ni madai tu....
  4. G

    Wadada/wamama, tumieni hii njia mbadala kuanika nguo za ndani...

    Ushauri mzuri sana huo, point taken....
  5. G

    Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

    Sioni tatizo kutofautiana mitazamo, ni busara kidogo tu zinahitajika kumaliza mgogoro huu.
  6. G

    Jacqueline Wolper Massawe: Ali Kiba ndio alionifunza mapenzi

    Hiyo kali, huo ni ubaya wa kufananisha mapenzi na pesa
  7. G

    Sakata la kina Zitto: CHADEMA watangaza kufunga mdomo

    Nadhani siyo wakati muafaka kufunga mjadala huu.
  8. G

    Mwigamba: Sitoki wala siombi radhi. Atoa ufafanuzi kuhusu Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013

    Ni mbinu nzuri za kisiasa na kukuza demokrasia ndani ya chama. Siungi mkono chama kumilikiwa na watu wachache au kuwa mali ya mtu fulani.
Back
Top Bottom