Recent content by grizzman

  1. grizzman

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Harrier 2014 vs Hyundai Santa Fe 2014

    Kaka bora uchukue toyota harrier kwanza mafundi wa uhakika vipuli vya kutosha anaconda kwenye barabara imetulia mafuta inanusa ikiwa HYBRID.. yaani ndani ina muonekano mzuri pia
  2. grizzman

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kaka hii ni story sio kazi ya uber ya sasa hakuna pesa ni noki kila mahala niko lisaaa la 3 mlimqni hapa
  3. grizzman

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Sio kweli chuma yangu kwanza sijawai kufungua kioo zikapita dk3 kipo chini, mziki mnene ikeda ya kutosha....labda ukauzu. Hua sipendi stori kabisa na abiria
  4. grizzman

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Bolt wapo maji maji stret30 victoria walisha hama
  5. grizzman

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kaka ofisi zipo mikocheni mtaa wa maji maji 30 washarudi
  6. grizzman

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nigee mmoja basi
  7. grizzman

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kaka unatumia dawa gani nna mwaka wa sita huu naendesha uber sijawai pata praivet kama zako dah dunia hii
  8. grizzman

    JamiiForums Tanzania Engine service ya gari yako kwa gharama nafuu

    Mkuu gari yangu inashida ya mshale wa mafuta ulikua una fanya kazi sa ingine haufanyi sasa hivi ndo haufanyi kabisa gari ni toyota ist msaada zaidi
  9. grizzman

    JamiiForums Tanzania Ulianzaje kukaa gheto?

    Spendi kitanda
  10. grizzman

    JamiiForums Tanzania Ulianzaje kukaa gheto?

    Apo vp
  11. grizzman

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Sawa boss mlimaliza kwa mtindo gani
  12. grizzman

    JamiiForums Tanzania Toyota IST tatizo la kioo

    Oneni hii punda
  13. grizzman

    JamiiForums Tanzania Toyota IST tatizo la kioo

    Habari za usiku wana jamvi, Nakuja kwenu kuomba msaada kidogo gari aina ya IST ghafla tu kioo cha mlango wa dereva hakipandi lakini vingine vyote vinapanda na kushuka naombeni msaada wenu.
Back
Top Bottom