Ushauri: Harrier 2014 vs Hyundai Santa Fe 2014

Mbimbinho

JF-Expert Member
Aug 1, 2009
8,317
7,738
Wakuu kwema??
Ndugu yenu nimechoka Sedans, sasa nataka niingie kwenye hizi Midsize SUV.

Ushauri kati ya Harrier anaconda (2014) na Hyundai (2014) ipi iko vizuri Comfortability, Stability, Reliability, Maintenance (Mafundi na spare kwa Hyundai)

Hizi zite bajeti yake nimeona inacheza kwenye 50m hadi 70m huko.

Ushauri mwenye kuzijua hasa huzi hyundai nimependa zimekaa vizuri sana.
Pia naomba niulize, Kwanini Hyundai zinazotumia Petrol mileage yake ni ndogo sana around 50,000 kishuka chini tofauti na za Diesel??

Msaada wenu ndugu zangu


View attachment 2696568View attachment 2696567
 

Attachments

  • Screenshot_20230723-010347_Chrome.jpg
    Screenshot_20230723-010347_Chrome.jpg
    53 KB · Views: 24
Ni mashine kuna siku nilikuwa naenda rusumo toka dar niliipanda ilikuwa IT ni mashine huwezi kufananisha na uchafu haria
Asante, kwa hiyo ni very comfortable na stable kuliko harrier.
Now,
1. Vipi kuhusu mafundi wanapatikana, spears najua kwa dunia ya sasa sio shida
2. Vipi kuhusu hizi za petrol kuwa na mileage ndogo ukilinganisha na diesel, za petrol zina shida yoyote??
 
Asante, kwa hiyo ni very comfortable na stable kuliko harrier.
Now,
1. Vipi kuhusu mafundi wanapatikana, spears najua kwa dunia ya sasa sio shida
2. Vipi kuhusu hizi za petrol kuwa na mileage ndogo ukilinganisha na diesel, za petrol zina shida yoyote??
Chukua acha mawazo
 
Wakuu kwema??
Ndugu yenu nimechoka Sedans, sasa nataka niingie kwenye hizi Midsize SUV.

Ushauri kati ya Harrier anaconda (2014) na Hyundai (2014) ipi iko vizuri Comfortability, Stability, Reliability, Maintenance (Mafundi na spare kwa Hyundai)

Hizi zite bajeti yake nimeona inacheza kwenye 50m hadi 70m huko.

Ushauri mwenye kuzijua hasa huzi hyundai nimependa zimekaa vizuri sana.
Pia naomba niulize, Kwanini Hyundai zinazotumia Petrol mileage yake ni ndogo sana around 50,000 kishuka chini tofauti na za Diesel??

Msaada wenu ndugu zangu


View attachment 2696568View attachment 2696567
Kaka bora uchukue toyota harrier kwanza mafundi wa uhakika vipuli vya kutosha anaconda kwenye barabara imetulia mafuta inanusa ikiwa HYBRID.. yaani ndani ina muonekano mzuri pia
 
Back
Top Bottom