Recent content by Greycioux

  1. G

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuichangai CCM yanga yaona aibu yafunga comment

    Pesa ya tofari
  2. G

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini jamii ya kitanzania hatuwezi kufanya biashara ya kifamilia

    Binafsi naona haina haja maan wengi wao ni wezi tuu pia hiki kizazi ni hatari kuendleza biasha ya famlia
  3. G

    JamiiForums Tanzania NEMC yakomesha uendeshaji holela wa kiwanda mtaa wa regent estate

    Ajira hamna waacheni na vijana nao wapate humo kwa wachina
  4. G

    JamiiForums Tanzania NEMC yakomesha uendeshaji holela wa kiwanda mtaa wa regent estate

    Waacheni na vijana wapate kulaaa, hmna kiwanda hapoo wasemw kua hawapata hongoo ndioo wamerusha mitandaoni
  5. G

    JamiiForums Tanzania Wanaume, huwa mnaharakia nini?

    Mda huo saiz hakuna weka tu weke kazi ie dlee tu
  6. G

    JamiiForums Tanzania Hivi wadau hivi vitu used vya Chris Lukosi ni original na vipo vizuri?

    Unatangaza biashara wew
  7. G

    JamiiForums Tanzania Askari 15 wanasurika kifo baada ya gari walilopanda kugongana na fuso

    ILibidi asipone mtuu wotee wafee tuu maan wanakuja kupokea order za utekaji baadae wapuuz tuu
  8. G

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kwa CHADEMA kushindwa kukusanya Tsh Millioni 100 kwa zaidi ya Mwezi wakati CCM inakusanya Billion 86 kwa usiku mmoja

    Wote ni wezi wa kubwa tuu pia wote waliochangia hua wanakwepa kodi baadae na wakiamua kubeba na madini nk hakuna wakuwazuia maan wameshilik harambee na pesa za michango wametoa
  9. G

    JamiiForums Tanzania Kero: Muwe mnawanyoa wake zenu wakikaribia kujifungua

    Hii nayo ni changamoto kubwa kwa mzaz kwakua mdaa sahihi wakufanya usafi unakua mdgo japoo na mlengwa nae ni mgumu kufunguka
  10. G

    JamiiForums Tanzania Nahisi mume wangu ana watoto wa nje ya ndoa

    Mbona hili swala ni lakawaida na lipoo siku zoote inshuu ni wew utalipokeaje, kua muungwana na kua tayar kupokea kwa chochte kwa maan hata huyoo mtot na e ni wako japo sio wa kumzaa jitahidi sana kuongea na mwenza kama angalau hakuwahi kukueelza juu ya hili naimani litapita salama kwa kuelwana tuu.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Msaada wa haraka: Demu wangu ameniambia tokea nianze kudate na yeye sijawahi kumridhisha

    huenda ukawa n maumbile madogoo n wakti yye kina chake cha kumridhish ni kirefu so jarbu kutumia muda mwingi kumuandaa vizur msogeze hisia zake tumia fursaa zipo nyingi san jins y kumrisha
Back
Top Bottom