hizi ndizo athari za kuanzisha mfumo mpya wa kodi bila kushirikisha wadau husika,, na pia bila kutoa elimu ya kutosha kuhusu namna ya kuuendesha mfumo huu.... mm naamini,, lengo lao mwanzo lilikuwa ni kuwatarget final consumers,, lakini baada ya watu kureact, wanajaribu kutafuta namna ya...
Mkuu umeongea suala la msingi sana....u just have to tell us ulichokifanya first tuone kama kweli unafaa kumpiku huyo/hao unaowaita wanasiasa uchwara. kukaa na kuanza kuelezea weaknesses za previous mps co criteria ya sisi kuona kwamba unafaa.
we need people who can do more than talk.!!!
nimeifuatilia thread hii kwa umakini na nimekuwa inspired kwa kiasi Fulani. ninaweza kukucontact vip mkuu chacha ili tufahamishane Zaidi kuhusu teknolojia hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.