Kama unasehemu nzuri na salama ya kuhifadhi sikushauri kuuza saizi mkuu unless unataka kufanya jambo lingine.
Ila kwanini usisage ukapaki unga au ukakoboa then ukauza kama mzabuni?
Inategemea upo wapi mfano huku Arumeru mnadani ijumaa unaweza pata kuanzia 55 hadi 80 itategemea na mbuzi ukubwa na hali ya mnada ilivyo.
Wazo lako zuri sana ila inabidi ucheze sana na muda.
Mboga mboga ila hapa kuna jambo la kujua hasa kilimo cha mboga mboga kinaitaji mtu uwe na mahesabu ya muda na soko.
Mfano kila eneo Tz lina misimu ya hali ya hewa, kuna kiangazi, masika na kipindi cha kawaida. Sasa hapa unatakiwa kuesabu miezi ya kiangazi ni lini then unalima ukijua kiangazi...
Habari wakuu.
Tunayo Soya ya njano tunauza jumla kuanzia Kg 50 Ipo katika ubora mzuri.
Bei na mchanganuo wake
Bei yetu ni Tsh. 1900 kwa kila kg. 1. Kuhusu usafirishaji, bei tajwa ni nje ya gharama za usafirishaji.
Wasiliana nasi kwa mahitaji ya Soya bora. Tupo Arumeru wilayani Meru, Arusha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.