Ukikosea mbegu ndio tatizo kubwa.
Lkn pia nimegundua utaratibu wa ulishaji na usafi wa mabwawa tunaoelekezwa na wataalam wetu una shida. Kuna bwawa nililofuga kama wanavyotueleza wa taalam lkn cha ajabu samaki wa hilo bwawa wamedumaa. Hivyo basi nafuga kwa utaratibu wangu mwenyewe ndio maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.