Recent content by Green Beret

  1. Green Beret

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

    Mwishoni sikubaliani na wewe Ishu ni kuwa mwanaume kuwa na mwanamke lazima awe na uwezo kiuchumi Wanaume wangapi wana nguvu ya kiuchumi ya kuwa na mwanamke na familia. Vijana wengi mjini wanakimbiza upepo kama boda, deiwaka, vibarua na mawinga kariakoo. Wanawake wengi wa mjini wamesoma au...
  2. Green Beret

    JamiiForums Tanzania Yaliyotokea Kariakoo: Ushauri

    Pole kwa waathirika. Moja kwa moja kwenye hoja. Mwaka 1986 pale Urusi kulitokea janga kubwa la kinu cha nyuklia cha Chernobyl kulipuka. Kutokana na uhaba wa wataaalamu na nguvu kazi wachimbaji wa makaa ya mawe waliitwa kusaidia kuokoa na kuepusha janga la mazingira lililokua tishio. Hapa...
  3. Green Beret

    JamiiForums Tanzania Yaliyotokea Kariakoo ni ukumbusho kuwa Amani hulevya Ujinga

    Watu wa mogodini wangesafirishwa kuja kuokoa
  4. Green Beret

    JamiiForums Tanzania Umepiga ‘Kenchi’ kweli, au Umepigwa? Hivi ndivyo Wateja wa Mbao wanavyotapeliwa Mitaani

    Hii tusker iko wapi mkuu na unapaka kabla au baada ya kupaua, embu naomba namba za fundi asee kama ni wa hapa daslam. Shukrani kwa elimu!
  5. Green Beret

    JamiiForums Tanzania Umepiga ‘Kenchi’ kweli, au Umepigwa? Hivi ndivyo Wateja wa Mbao wanavyotapeliwa Mitaani

    Tusanue mkuu, inauzwa wapi hii dawa tujitose?
  6. Green Beret

    JamiiForums Tanzania Umepiga ‘Kenchi’ kweli, au Umepigwa? Hivi ndivyo Wateja wa Mbao wanavyotapeliwa Mitaani

    Habari wakuu huko Sao Hill ni bei gani kwani? Natanguliza shukrani
  7. Green Beret

    JamiiForums Tanzania MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

    In politics, stupidity is not a handicap. Napoleon Bonaparte
  8. Green Beret

    JamiiForums Tanzania Kwanini Afrika watu wenye akili nyingi huzidiwa kisiasa na wenye akili ndogo au za wastani?

    Mfano mzuri ni Kongo Walipopata uhuru Patrice Lumumba ndiye alikua waziri mkuu na maono ya kulikomboa taifa lake kwenye umasikini. Ila kutokana na mrengo wake haukulandana na wale 'maboss' basi alitumika Mobutu ambaye alikua mwandishi wa habari mwenye koneksheni kumpindua Lumumba na Kongo...
  9. Green Beret

    JamiiForums Tanzania Chanzo Cha Umaskini Tanzania hiki Hapa. Deep State kazi kwenu

    Pavumapo palilie.
  10. Green Beret

    JamiiForums Tanzania Hoteli ya bilionea Mrema yapigwa mnada, sasa kuvunjwa

    Unashangaa mtu anapombinya mwenzake kwa kumpa sifa za kijinsia. Tangu lini jinsi ikaamua utashi wa mtu? Tabia hii inadhihirisha dharau na ujinga ndani yake pia! Thamani ya mtu ni utu.
  11. Green Beret

    JamiiForums Tanzania M23 ni private mercenaries wa Marekani na Ulaya. Wazungu wako miaka 100 mbele

    Laana hii inatoka wapi. Tafadhali elezea kinagaubaga. Karibu...
  12. Green Beret

    JamiiForums Tanzania M23 ni private mercenaries wa Marekani na Ulaya. Wazungu wako miaka 100 mbele

    Chanzo ni ukabila na uchu wa madaraka. Hao M23 ni watusi wa Kongo. Kivu ina utajiri wa madini yanayotengeneza hizi malighafi za vifaa vya elektroniki pamoja na aina zingine za madini. Wakongoman kwa maana ya wabantu hawataki kuwatambua watusi hawa kama wakongo toka enzi za Mobutu. Hawahesabiwi...
  13. Green Beret

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano

    Wazikanapo ndipo watafunanapo
  14. Green Beret

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

    Jina lako haliendani na ubwabwaji huu. Zingatia sana wahenga waliposema haya: 1. Habari za nyumbani simfunulie jirani. 2. Nguo chafu husafishwa uani. Kwani ukumbuke kuwa " Kuchamba kwingi, kuondoka na mavi. "
  15. Green Beret

    JamiiForums Tanzania M23 ni private mercenaries wa Marekani na Ulaya. Wazungu wako miaka 100 mbele

    Umeanza vizuri ila ulipofika hapo kwenye mtoto mdogo kuona mambo ya giza umeharibu. Mambo ya Kongo yana historia ndefu. Shida ilianza pale wareno walipofika ngambo ya maji ya mto Kongo upande wa bahari ya Atlantic na wakongoman wenyewe kuanza kuwindana kuuza watumwa kwa wareno hao na wengineo...
Back
Top Bottom