Recent content by Great Cbn

  1. G

    Zembwela katika Super mix

    Unaomba samahani ya nini? tupe kwanza mifano ya kuonesha zembwela ni mropokaj ?
  2. G

    Zembwela katika Super mix

    Kumbe kwako wewe ni useless, basi kwetu sisi ZEMBWELA ni useful, kwan kuna kitu gani cha upekee katika ubunge mpaka wewe ushangae watu kumpendekeza zembwela kuwa mbunge? Logic katika maana ya a way of thinking or explaining bas huyu jamaa anaongea ukwel wenye logic, na kuwa comedian haikuzuii...
  3. G

    Zembwela katika Super mix

    WEWE kuwa na degree sio kigezo tosha cha kukufanya wewe upate kazi. Labd east afrika katika Kuwafanyia Mahojiano Walikuona hauna mvuto wa utangazaj ingawa ulikuwa na degree, Labda Muda Huo ulioenda kuomba kaz walikua hawaitaj mtu mwenye elimu ya degree, Pia unaweza ukawa na degree usiwe na...
  4. G

    Zembwela katika Super mix

    Zembwela ni mtangazaji asiyefungamana na upande wowote ule, mleta nyuzi anaweza akawa anamchukia zembwela kwa kuwa yupo upande fulani ambao umekua ukikosolewa na huyu mwandishi , mleta mada inabidi atuambie yeye MAGAMBA DAMUNIIII AU MAKOMBATI YA KAKI DAMUNI , Mwisho zembwela usikate tamaa kwani...
  5. G

    Zembwela katika Super mix

    ZEMBWELA ni mtu asiyefungamana na upande wowote ule, Sasa UYO aliyeta huu uzi anaweza akawa anasaport serikali iliyopo madarakani kwa maana ya CHAMA CHA MAGAMBA au akawa anasaport chama kikuu cha upinzani kwa maana ya CHAMA CHA MAGWANDA YA KAKI. Nitakutolea mifano juu ya watu wanavyomchukia...
  6. G

    MWIMBAJI LINAH SANGA ; Sio Kweli Nilibakwa Baada Ya Kulewa

    Daah izo ndo negative effects za kuwa public figure katika nchi local kama Tanzania , kama kweli kafanyiwa ivo ni kitu cha kupingwa kwa hasira zote kwan mavaz sio sababu ya msing ya kukufanya mtu uvunje sheria ndo maana binadamu tumepewa utashi, kama umempenda bora umtokee, na kama ni kweli...
  7. G

    MWIMBAJI LINAH SANGA ; Sio Kweli Nilibakwa Baada Ya Kulewa

    Ok, miss mwenye strong nimekuelewa
  8. G

    MWIMBAJI LINAH SANGA ; Sio Kweli Nilibakwa Baada Ya Kulewa

    Mkuu kimbunga ayefanya HIP HOP au mwengine?
  9. G

    MWIMBAJI LINAH SANGA ; Sio Kweli Nilibakwa Baada Ya Kulewa

    Iyo ni siri ya mtungi aijuae kata
  10. G

    MWIMBAJI LINAH SANGA ; Sio Kweli Nilibakwa Baada Ya Kulewa

    Mwimbaji Linah Sanga amesema habari zinazoenezwa kwamba amebakwa baada ya kulewa sio za kweli kwasababu anasiku ya tatu Ajatoka Nyumbani. Source: Millardayo.com
  11. G

    Nikki wa 2 na Izzo Bizness nani zaidi?

    Nicki wa pili ni zaid ya izzo b, izzo b anafanya hip hop laini huu akili za ziada kuifikiria mistal yake lakin nick inabid utulie kumelewa anachoimba
  12. G

    DJ PQ ashindwa kupiga nyimbo za Tanzania ndani ya BBA

    Daah kweli alichofanya Sio Fresh mbona TZ kuna wasanii wananyimbo kali zenye mitundo ka p.square mf; aika & nahreel - usinibwage, navykenzo-hold me back or cheza kizembe huko bora wangempelekea DJ MAFUVU AU SAMA huyo jamaa nae umimi ulimzidi kuna nyimbo nying watu wanacheza mtundo sio lazima...
  13. G

    Moshi Technical School thread

    Poa mkuu lakini kwanini mnakuwa sio wa wazi nije nijionee mosh tech mpya hapo nakua sielew kidogo unamaana yenye waalimu wa kutosha, mazingira mazuri, vifaa vya kutosha kama vitabu na n.k o the vice versa is true? lakin poa mkuu
  14. G

    Natafuta Mchumba aliyeokoka (Mwanamke)...

    mwanamke aliyeokoka? nenda kwenye madhabau ya kanisa la kakobe,lwakare, mzee wa upako na n.k utawaona weng wakitoa ushuhuda, nawe kachague yule unayemuitaj , kama wanavyofanyaga wenzako mafatak kwenye shindano la umiss !
Back
Top Bottom