Recent content by Grant23

  1. G

    Kwa Hili la Bima ya Afya Kwa watoto-Hapana

    Njia pekee na rahisi kuchangia bima ya afya ni Serikali kuanzisha Mfuko wa bima wa kwa wote, insurance fund, itokane na makato kwa simu, makato yasiyo umiza wananchi.
  2. G

    Ilipangwa asiye na kadi ya bima ya Afya akose huduma za msingi

    Bima ya afya kwa wote inawezekana iwapo Watanzania wakaeleweshwa, ni wajibu kila raia kulinda afya yake, je ni mfumo upi utumike ili kila rai achangia kutokana na uwezo wa kipato chake, tatizo ni mfumo upi unafaa kuwawezesha watu waweze kuchangia kutokana na umuhimu wa jambo lenyewe, lazima watu...
  3. G

    Kumbukumbumbu ya Miaka 23 ya Kifo cha Baba Wa Taifa

    Hakika mwalimu alifanya Mambo mengi kwa maendeleo ya nchi yetu,Kwa uchache nilikuwa napitia ujenzi wa wa reli Tazara. Reli iliyojengwa kipindi nchi za Afrika zinapigania Uhuru wake, reli ilijenjwa kupambana na ukoloni;pia kuimarisha uchumi wetu. Sina hakika nikwakiwango gani alipambana na nchi...
  4. G

    Ushauri kwa Serikali: Kuliko kutozana pesa ya Bima ya Afya in lump sum, tozo zirudishwe kwa ajili ya Bima ya Afya kwa wote

    Nakubaliana na mchangiaji,unaweza ukawekwa utaratibu wa mfumo utatambua kila mchangiaji atachingia kutokana na matumizi yake ya simu,anapafanya miamala anajua anachangia bima ya afya, mfumo ukiwepo michango itatambulika kupitia namba ya mtimiaji, pia itampandishi kiwango Cha matibabu kutokana na...
  5. G

    Bima ya Afya kwa wote

    Wanajamii mpango wa bima kwa wote ni muhimu, lakini ni kwa njia zipi wananchi watachangia kiasi kilichopangwa na wizara ya afya. Kwa maoni yangu watu wengi wana simu za mkononi, kwa nini isitafutwe njia ya kuuchangia mfuko wa bima kupitia mfumo wa simu ya mkononi, watu wengi wanasimu za...
  6. G

    Kwa mtu au kampuni wanahitaji shamba la kulima AVOCADO Katavi Mpanda.

    Shamba linaukubwa wa Hekali 359, Lina hati miliki.kwa mawasiliano 0757 241118
  7. G

    Naunga mkono wazo la Mtoto wa Museveni, Afrika Mashariki iwe nchi moja

    Wazo zuri Sana, ni gharama kununua mandege, vifaru nk , kisa wasiwasi na jirani tuungane kwanza ulinzi ili tusihanhaike kuwa na majeshi, mengi na kuyatunza kwa gharama kubwa.
Back
Top Bottom