Recent content by GRAND MUFTI

  1. G

    Mawasiliano Ikulu: Zama za Greyson Msigwa vs Salva Rweyemamu

    Wiki iliyopita Rais kakutana na mabalozi na staff wa wizara ya mambo ya nje Mpaka leo Ikulu hawaja upload speech nzima ya rais kwenye youtube walirekodi lakini hakuna kitu Mindi kasiga naye hajaset up youtube page ya mambo ya nje Hapa napenda kusisitiza kuwa hosting ya hizo video youtube ni...
  2. G

    Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

    sasa nimeelewa kwa maelezo haya inaonekana kuwa huyu mkurugenzi wa sasa alikuwa anafanyia sabotage mkurugenzi aliyeondoka aonekane hajafanya kazi yoyote Huyu jamaa mpya toka ameingia sijaona cha maana kilichofanyika na mafao yetu tunashindwa kuyapata
  3. G

    Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

    Udini kwenda kwa mbele
  4. G

    Kumbe nchi hii kuna watu bado wanajilipa posho 400,000 kwa siku?

    Hivi waislam hawataki pesa au hawataki kupiga pesa au sio mafisadi au hawapo kwenye hii michakato ya pesa au hawahusishwi au hawapendi ufisadi? List naona wamejaa wagala watupu
  5. G

    Zawadi Msalia wa Wizara ya Habari. Acha ushabiki wa kidini kwenye kazi

    bwana ametoa bwana ametwaaa wagala mtihani sana wallah
  6. G

    Ya Muslim University of Morogoro na Wachina

    Naona hiki chuo kimeleta changamoto kubwa sana lakini pia nadhani kuna la kujifunza hapa Uchambuzi wa kina pia unahitajika MAONESHO ya Elimu ya Juu yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja yamefunguliwa rasmi leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Kassim Majaliwa Kassim huku...
  7. G

    Zawadi Msalia wa Wizara ya Habari. Acha ushabiki wa kidini kwenye kazi

    Ukisoma maneno ya mwisho hii taarifa aliyolewa leo utaona wazi kuwa huyu mama ameshindwa kuwa professional kwenye kazi yake na anaongozwa na ushabidi na hisia za kidini. Kwa Mtu wa Habari/PR nilidhani angezingatia sensitivities lakini wapi Ngoja nitafute profile yake na track record yake
  8. G

    NSSF: Vigogo 12 waachishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi

    Yule mumewe anafanyakazi kampuni ipi ya mafuta?
  9. G

    NSSF: Vigogo 12 waachishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi

    naskia alihamishiwa Morogoro. Sikujua kama ali upgrade from magori
  10. G

    NSSF: Vigogo 12 waachishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi

    kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kuhusu huyu Binti na mahusiano yake na DG
  11. G

    NSSF: Vigogo 12 waachishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi

    walikuwa mtu na patna wake..wote walikuwa ambitious lakini naona they over reached
  12. G

    Kuna siri gani kati ya Eunice Chiume na bosi mpya NSSF, Godius Kahyarara

    Umerudi? duh mtu uliandika farewell la kufa mtu humu sasa umerudi?
  13. G

    NSSF: Vigogo 12 waachishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi

    Why hajafukuzwa kazi wakati she was in the thick of tuhuma na wenzake? Kusa siri gani?
  14. G

    Kuna siri gani kati ya Eunice Chiume na bosi mpya NSSF, Godius Kahyarara

    Why hajafukuzwa kazi wakati she was in the thick of tuhuma na wenzake? Kusa siri gani?
Back
Top Bottom