Recent content by Grahamm

  1. G

    Idara ya Maji Mwanza-MWAUWASA: Kukatwa kwa maji siku ya pili leo na hili tatizo la Corona!! Huu ni ukatili dhidi ya binadamu viongozi mko wapi?

    Duh sijui tumewakosea nini hawa idara ya maji.. na leo tena chali, hivi kweli hawawezi kuona umuhimu wa maji kipindi kama hiki daaah
  2. G

    Idara ya Maji Mwanza-MWAUWASA: Kukatwa kwa maji siku ya pili leo na hili tatizo la Corona!! Huu ni ukatili dhidi ya binadamu viongozi mko wapi?

    Sina nia ya Kuharibia mtu kibarua chake ila ni taarifa tu kwa mamlaka hadi muda huu hakuna maji, taarifa ingetolewa mapema labda tungejiaandaa kwa kukinga maji ya ziada. Pia nikurekebishe meseji wanazotuma za madeni ni automated hazina namba za kuweza kupiga. Labda kupitia bandiko hili wanaweza...
  3. G

    Idara ya Maji Mwanza-MWAUWASA: Kukatwa kwa maji siku ya pili leo na hili tatizo la Corona!! Huu ni ukatili dhidi ya binadamu viongozi mko wapi?

    Jamani enyi Viongozi wa Mamlaka ya Maji Mwanza, Ina maana hamlioni hili? Au majumbani mwenu kuna uhakika wa maji muda wote? Siku ya pili sasa Mitaa ya Nyakato, National Buzuruga kote hakuna maji na haya ni maeneo ya stand kunakohitajika maji ya uhakika kwa watu kunawa mikono angalau kujikinga...
  4. G

    USHAURI: Nimepata Milioni 10 cash, sijui cha kufanya

    Naombeni mnisaidie utaratibu wa kupata super agent please, naambiwa ina commission kubwa zaid
  5. G

    USHAURI: Nimepata Milioni 10 cash, sijui cha kufanya

    umefungua ofisi ngapi? Mpesa, Tigopesa yapaswa kuwa back-up business alongside other good business
  6. G

    Biashara ipi ya kuwekeza kipindi hiki kwa mtaji wa milioni 30 -50?

    Unajua Sababu ni nini? Hii inatokana na Hofu ya risk ya kuzipoteza hizo ulizonazo mkononi. Ukiwa huna fedha huna risk so kichwa kinawaza idea nyingi mno, ukiwa na hela na ukaanza kuzirejea hizo idea ulizokuwa nazo kabla hujawa na hela cha kwanza kinachokujia ni hofu ya kuzipoteza ukijaribu idea...
Back
Top Bottom