Jamani enyi Viongozi wa Mamlaka ya Maji Mwanza, Ina maana hamlioni hili? Au majumbani mwenu kuna uhakika wa maji muda wote?
Siku ya pili sasa Mitaa ya Nyakato, National Buzuruga kote hakuna maji na haya ni maeneo ya stand kunakohitajika maji ya uhakika kwa watu kunawa mikono angalau kujikinga na hili janga la CORONA
Viongozi wa Mamlaka hii ni hatari kubwa mno hasa katika kipindi hiki cha janga hili la CORONA, Ni vyema hatua za harka zikachukuliwa otherwise hayo mandoo mliyoagiza watu wayaweke madukani na stand kwenye mabasi yatakuwa ya kazi bure maana leo karibu kila duka unakuta ndoo tupu hazina maji sababu maji yamekatika siku ya pili leo bila hata ya taarifa yoyote toka kwa mamlaka.
Ajabu ni kwamba wakishasoma mita tu hapo hapo unapata taarifa ya deni kwenye meseji, huu uzito wa kutoa taarifa ya kutukatia maji unatoka wapi? kwa nini nguvu ile ile isitumike kuwaambia wananchi tatizo ni nini?
Jitafakarini, Huu ni ukatili dhidi ya binadamu, otherwise inabidi wanamnchi wakanawe ziwani sasa
Siku ya pili sasa Mitaa ya Nyakato, National Buzuruga kote hakuna maji na haya ni maeneo ya stand kunakohitajika maji ya uhakika kwa watu kunawa mikono angalau kujikinga na hili janga la CORONA
Viongozi wa Mamlaka hii ni hatari kubwa mno hasa katika kipindi hiki cha janga hili la CORONA, Ni vyema hatua za harka zikachukuliwa otherwise hayo mandoo mliyoagiza watu wayaweke madukani na stand kwenye mabasi yatakuwa ya kazi bure maana leo karibu kila duka unakuta ndoo tupu hazina maji sababu maji yamekatika siku ya pili leo bila hata ya taarifa yoyote toka kwa mamlaka.
Ajabu ni kwamba wakishasoma mita tu hapo hapo unapata taarifa ya deni kwenye meseji, huu uzito wa kutoa taarifa ya kutukatia maji unatoka wapi? kwa nini nguvu ile ile isitumike kuwaambia wananchi tatizo ni nini?
Jitafakarini, Huu ni ukatili dhidi ya binadamu, otherwise inabidi wanamnchi wakanawe ziwani sasa