Tunamshukuru Mungu kwa wasanii wetu kupatikana lakini sisi kama watanzania pia tuna kila haki ya kujua walikuwa wapi all days long na walichukuliwa kwanini na walio wachukua watutake radhi maana sio kwa kutupa pressure kiasi hicho, mbona sisi nchi yetu haijazoea hizi drama
Kuomba msamaha ni kujua kosa lako na kukiri kutorudia tena kama umemuombea msahama inamaana yeye hajajua kosa na hatoacha kurudia, kama ni kweli hana vyeti i think akuchukue maamuzi sahihi anayotakiwa kufanya yeye kama kiongozi maana yeye ni kama kioo kama ataona kuendelea kukaa kwenye uongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.