Inauma sana, kweli vizuri havidumu, REHEMA hakuwa na majivuno kabisa kama ilivyo kwa wasichana wengine walio maarufu, alisalimia kila mtu mtaani hata watoto, yeye kwake ni tabasamu tu muda wote!! aliwapenda watoto sana!! basi tena bwana ametwaa jina lake libalikiwe.
Nasi tujiandae kwa safari...