Same chant any I kids km hapa Moshi sijui ht kama wanafikia Tisa sana sana saba!daah wanatia Huruma maana ht wao walikuwa team lowasa ss sijui wataamua nini?
Ukweli gani? Wazee Wa ccm unafiki tu ina maana hayo yakitendeka alikuwa nje ya nchi au wanajinusuru kwanini hakukemea anakumbuka shuka kumekucha unafiki tu hata kwa wakongwe sijui baada ya nyerere baba wa Taifa nani?
Wee Marco polo ni Wa kupelekwa kwenye maombi maana huelewe tatizo sio MTU ni mfumo makofuli ni wale wale yaani kwa ujumla ccm haitakiwi ni vyema makofuli akaja ukawa tukomboe nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.