msamehe mke wako ndugu umeshamuadhibu vya kutosha na amejifunza kunjua moyo wako kwake anakupenda sn ndo mana bado anakuomba msaha miaka miwili? bd anakubembeleza tu mbona naamini kbs uwezo wa kuwa na mahusi mengine anao ila bado anakuitaji mume
second wanawake wanene huwa wanamuonekano wa heshima sn wastaarab tofati na vimbau vimbau asilimia kubwa huwa nimicharuko sn pia wanamanone mengi kifupi wanakuaga hawajatulia
we bonge una huakika na maneno yko...?? labda nikwambie kitu hakuna wanawakd wanavutia, n kupata shida za kusumbuliwa na wanaume km wanawake wanene tena bora ht mwanamke mnene kuliko mwanaume mnene binafsi sivutiwi nao kbs au mwanaume mweupe kinyaa
hakuna wanawake wanamvuto na soko kubwa km wanawake wanene haa haa haa mwanamke ushepu babu sio kitu kimekauka kila ukishika unashika mifupa mwanamke tako & steki
we mleta mada lazima utakuwa ------ tu km ungekuwa lijari usinge post uongo km huu mbona mama ako ni mnene naye ni mrahisi..? acha kuongea pumba km vp rudi facebook pimbi we acha kukurupuka siku nyingine au umeamua kupost baada ya kuona mama ako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.