wezi sana hao voda..mi siku hiyo nilitumiwa 10,000 haikuingia kwenye simu na mpaka leo haijarudi kwa aliyenitumia wala kuja kwangu..
msamaha wasaidia nn wakati watu tumepata hasara!!!!!!
haya wapendwa napenda kushare nanyi mambo mazuri ya kuwapendezesha na kwa bei nafuu sana.
handbags bei ni 50,000 na pochi ndogo ni 30,000. kwa anayetaka aniibox tufanye biashara, nauza rejareja.
nimeweka sample hapa so nasubiri PM zenu then tuongee biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.