Nafikiri wewe free ideas huko sawa nadhani endelea kumi mungu akufunulie ujue Mungu.pili naamini Mungu aneshakusamehe kwasababu Mungu ndiye aliyekupa pumzi ndio maana unaishi, tatu do not include science and the ALMIGHT GOD huo kwako ni upofu mkuu sana
Haya ni majipu makubwa ambayo yanaeudisha maendeleo nyuma,haya yapo na nia ya kweli kabisa sio utani maana wanawake walipewa hata uwakande hadi na maji ya moto umjali umpe haki yake vizuri lkn anakwenda kuachia nje ya ndoa matokeo ndio haya ya 49%hapa ni kwamba tamaa ndio msingi wote ukitaka...
Nadhani hujaelewa aliyewasilisha mada ameeleza nini sidhani upo sawa kusema hivyo.ila ukweli utabaki hivyo mwanamke ndio alileta anguko na lilianzia bustani ya Eden sasa sijui unachoongea ni nini.kama mwenzako aliona mumewe hawezi sana kitandani kwanini hakumshirikisha? Maana mumewe ni mwili...
Kwanza lazima ujue kwamba ulifanya huo ujinga kwa kukusudia maana hakuna anayesema ni bahati mbaya ukaeleweka maana ulikusudia kufanya hayo.isingekua akili zako ungekua haupo katika ufahamu wako wakati unaenda kufanya hayo uliyoyafanya tungesema labda umepitiwa lkn ulikua unajua unachokifanya na...
Na haha mungu atakulipua maana unamdhihaki.kweli tamaa ni mbaya sana.yaani hata neno la mungu linaagiza msiachane isipokua kwa uasherati,sasa wewe tayari umeshamtanulia miguu mwanaume mwingine mungu aweza kukutoa katka maisha haya nitafute nikupe ushauri nini cha kufanya sio lazima tuonane
Kweli hamjali,. Mnaona vizuri kuweka password simu zenu kuficha mambo yenu na kuzinunulia makava mazuri sana lakini ni wepesi wa kutoa penzi kwa wanaume wengine na hamjui mnahatarisha afya zenu na waume zenu au wa penzi wenu.shame on you all whom you are not Faithfull in your marriage.shame on...
Ninyi wanawake asilimia kubwa about 95% sio wa amini ni vizuri ungelimuweka mume wako wazi kabla hamjaoana na tatizo lens makubaliano kutoa nadhiri ya kukubali kuolewa bila kuangalia je wewe mwenyewe unampenda kweli?mkusikia nitakuoa mnaanza kudata utafika right ndio utakua umepata...
Hapo makonda amechemka pamoja na wewe unaemtetea sidhani for a good reason and think tank ipo maana mtu kuchelewa hai halali shida kuwekwa ndani mtatiro yupo sahihi.msilewe hivyo maana RAIS Magufuli hawapo cheo ndio Kwanza mnatoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.