kaka yako anaubabe wa kizamani..we fanya jambo jema na kaka yako asikutishe kuhusu kuvunja undugu wenu kwa maana hata huyo mtoto ni ndugu yako.msaidie mtoto na achana na irresponsible father,life is full of suprises watoto kama hao huwa hawatupwi na mungu so jst adopt him
Sent from my...
Jf ataadvise watoto..soma ulete shahada upate ushauri acha uzinzi mda wako bado na uache kucopy na kupaste
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
We rafiki yangu unadhalilisha ndoa unataka kuacha mkeo kwa utamu wa bao la siku mmoja?kuwa mwangalifu familia yako kwanza hao makahaba wapo tu..pia yule mke wa mtu angalia usije liwa tigo
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hatudanganyiki wana jf papuchi na mkavu ushagawa..kijana gani wamjini miaka mitatu asikule?cha msingi shine yo eyes
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Huyu sio mpendwa ni mzizimkavu kama jina lake sisemavyo yy ni mzizi na nimkavu hana hisia za kibinahadamu na hajui faraja ya mwanamke kuwa na mtoto..ww wakikutoa pumbu na haujazaa utajiskiaje?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
We mshikaji mbona unaweka personal feelings?dada yako ashachomoa mimba nn ama mchumba wako kachomoa nn?tumshauli dada vyema na si kumletea nyenyenye..mi nadhani nenda kwenye maombi dada yangu kwa T.B joshua u wnt regret it otherwise watakutoa kizazi with time.u best believe.
Sent from my...
Mahali sio ndo hilo la kwanza..lakini kama mme kaa wote zaidi ya miaka miwili "under single roof" kuna kuwa na presumption of marriage na swala la mtoto sheria inaangalia the best interest of a child mara kwa mara mama ndo atakaa nae mpaka miaka saba.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Kaka nasio kutetea kisa umesoma google..nakubaliana na ww bangi inatumika to some extent kama dawa..ila its effect ni dynamic kwa mtu na mtu haiko uniform kama vitu vingine kama sigara..na sisemi singara ni nzuri hapana ila economically ni nzuri more benefit than bangi..kwanza harufu yake...
Wote waliounga mkono ni wavuta bangi..leo mnataka bangi ilalishwe kesho mmoja wenu akiliwa tgo mtataka ushoga ulallishwe..bangi ni mbaya msitualibie vijana wa kesho na mawazo yenu yakibangi bangi..nyambafu
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.