Nimepitia mara nyingi kusoma post zako zimenivutia sana na sasa nataka kuona mambo tofauti nimechoka kuona mambo yale yale kila siku kibaya zaidi nimehangaika sana kwa waganga lakini sikumuamini hata mmoja kwa kifupi na mengi sana ya kueleza ila naomba ufafanuzi kuhusu ipi ya kuanzia baina ya...
Nakukubali sana mkuu mshana mimi jicho langu la kulia linachezacheza sana hivi kwa linafanya hivyo naomba ufafanuzi wako mkuu maana linanipa fikra sana naomba Msaada wako mkuu
Kwa mtazamo wangu naona kama vile kuna malengo ameweka kabla hajafanya hitimisho anataka kuona ushindani ukiwepo kwa Jamii zote zenye akili timamu na ndio maana kuna ubaya na wema na ndio maana tunajiuliza maswali mengi majibu yapo mengi tu kichwani mwako na sio lazima upatie kujibu Wapo...
Mtoa uzi yuko sawa hata mimi nilihoji kwa nini tunakufa wakati mungu hauwi wakanambia ahadi ya mtu ikifika anakufa nikahoji vp watoto wadogo wanaokufa na wale wanaozama baharini na wanaopotea inakuaje kwa sababu niliambiwa ukifa ukizikwa kuna malaika anakuja kukuuliza maswali ukishindwa kujibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.