Recent content by GOWISHI

  1. GOWISHI

    Je, asili ya majini ni ipi?

    Wewe ndiyo huna unalojua , Nani kakuambia Biblia ni kitabu ? tafuta maana ya Biblia ndiyo uje hapa . Halafu Issa siyo Yesu ,kama unajua Issa ni Yesu umepotea. Unaweza kunipa maana ya Injili? unaweza kunieleza Zaburi ni nini? wewe sikiliza tu Majini na kuswali na Majini unaenda Motoni
  2. GOWISHI

    Je, asili ya majini ni ipi?

    Vip kwani? Majini unayapenda sana ? Ila sio mbaya maana hata Mtume Muhamadi alikuwanayo
  3. GOWISHI

    Pendekezo: Mashindano Makubwa ya kuhifadhi Kitabu Kitakatifu cha Biblia 2017/2018

    2:97. Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini. Qurani imeletwa na adui wa Jibrili ,huyo adui wa Jibril ni nani?
  4. GOWISHI

    Kwanini wanaisrael hadi leo sio wakristo, na bado wanaitwa taifa teule la Mungu?

    Mungu aliteua hilo taifa ili aje azaliwe Yesu, kupitia Yesu watu wanapata ahadi za Ibrahimu. ndiyo maana Waisraeli walikatazwa na Mungu kuoana na watu wengine mpaka atakapozaliwa masihi. Wayahudi bado hawaamini kwamba Yesu ni masihi ,bado wanamsubiri masihi kwa imani yao, hapo ndipo...
  5. GOWISHI

    Kwanini wanaisrael hadi leo sio wakristo, na bado wanaitwa taifa teule la Mungu?

    Mungu aliteua hilo taifa ili aje azaliwe Yesu, kupitia Yesu watu wanapata ahadi za Ibrahimu. ndiyo maana Waisraeli walikatazwa na Mungu kuoana na watu wengine mpaka atakapozaliwa masihi. Wayahudi bado hawaamini kwamba Yesu ni masihi ,bado wanamsubiri masihi kwa imani yao, hapo ndipo...
  6. GOWISHI

    Kwanini wanaisrael hadi leo sio wakristo, na bado wanaitwa taifa teule la Mungu?

    Mungu aliteua hilo taifa ili aje azaliwe Yesu, kupitia Yesu watu wanapata ahadi za Ibrahimu. ndiyo maana Waisraeli walikatazwa na Mungu kuoana na watu wengine mpaka atakapozaliwa masihi. Wayahudi bado hawaamini kwamba Yesu ni masihi ,bado wanamsubiri masihi kwa imani yao, hapo ndipo...
  7. GOWISHI

    Kwanini wanaisrael hadi leo sio wakristo, na bado wanaitwa taifa teule la Mungu?

    Mungu aliteua hilo taifa ili aje azaliwe Yesu, kupitia Yesu watu wanapata ahadi za Ibrahimu. ndiyo maana Waisraeli walikatazwa na Mungu kuoana na watu wengine mpaka atakapozaliwa masihi. Wayahudi bado hawaamini kwamba Yesu ni masihi ,bado wanamsubiri masihi kwa imani yao, hapo ndipo...
  8. GOWISHI

    Kwanini wanaisrael hadi leo sio wakristo, na bado wanaitwa taifa teule la Mungu?

    Wakristo ni wana wa Mungu, Yesu alileta mahusiano Kati ya mtu na Mungu. hakuna mtume aliyeleta Dini. Muhamad pekee ndiye kaleta dini ya kujisalimisha kwa Allah. Mambo ya Dini ni mambo ya wapagani. Ndiyo maana waislam wameiga wapagani kubusu jiwe kule Makka.
  9. GOWISHI

    Quran na uislam zilipishana wapi na kwanini??

    huyo anayewapandikizia viongozi ni nani ? na kwa faida gani?
  10. GOWISHI

    Quran na uislam zilipishana wapi na kwanini??

    Hakuna anayepotosha dini, viongozi wa waislam wanatakiwa wakemee vitendo vya kigaidi, ili watu wote wajue kwamba dini ya Kiislamu haina mafundisho ya kigaidi.
  11. GOWISHI

    Quran na uislam zilipishana wapi na kwanini??

    ALLAH WA Waislamu ANAMAADUI AMBAO NI WAKRISTO NA WAYAHUDI Allah wao ana maadui wake ambao ni Wakristo na Wayahudi Quran. 4:51 na 57 (surat Al Maida) Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi...
  12. GOWISHI

    Quran na uislam zilipishana wapi na kwanini??

    magaidi wanatumia Quran :- AL-Nisa4;101 Wale Wasioamini Ni Maadui Zenu Wakubwa.Vilevile Inasema Katika Sura Ya Al-Tawb9;3 Tangazeni Mapigo Makuu (Ya Ole) Kwa Wasioamini.Pia Al-anfaal8;39 Fanyeni Vita Juu Yao Hadi Kusiwepo Na Mateso Tena Na Hadi Pale Dini Ya Allah Itakapo Tawala.
  13. GOWISHI

    Wizara husika, hebu jaribu kuboresha hiki kituo cha utangazaji cha Taifa TBC

    hivi kuna watu bado wanaangalia hiyo TV!!?
  14. GOWISHI

    UMAR Ibn Al-Khattab na Paul (SAUL wa Tarso): Mashujaa wa imani mbili Kinzani...

    pole sana huo ndiyo ukweli ,Muhamadi utume wake kapewa na mke wake.
Back
Top Bottom