Yaani umekwama na , wapemba, waarabu, mara wayemen, hadi waislam. Sema sipendi waislam na vitu vyao, huna haja ya kuanzisha ajenda ya kupiga uislam vita kupitia tv za watu, ni mpango muovu acha
Ndio maana kwenye jumuia kila kikao lazima atokee mmoja amtaje MAMA kwa ubayaaaaaa!¡!!! nilikuwa sijastuka, hasa nikikumbuka tulivyokuwa tumebanwa na mkatoliki 'yule' lkn sasa imekuwa ghafla ni ati alikuwa bora.
Natamani ufunguliwe mjadala wa korosho, yajadiliwe yafatayo! Maandalizi ya shamba, mavuno na mauzo (soko). Kwa kuanzia najua kwamba haijawahi kutokea pasiwe na malalamiko yanayohusu zo la Korosho kwa kila mwaka, iwe kwenye maandalizi ya shamba, mavuno hata mauzo. Nini tatizo hali ya kwamba hili...
Nakumbuka ziara ya mtwara akiwa Masasi kuna jamaa walichezea kichapo, walikuwa na magazeti yamekunjwa kunjwa. Baada ya kisago wakaja gundua kosa Lao ilikuwa ni yale magazeti waliokuwa nayo mkononi.
Ni sawa, kwani pombe ni haramu, uzizi, uchawi, uongo, wizi, nyamafu, lakini vinafanywa na watu wengi kuliko wasiofanya. Jambo la kuongoza mwanamke halijafikia kuwa haramu, bali katika nchi za kisekula ndio kabisa lipo sawa tu
Kuna wakati aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani alimwita jpm kuwa ndie Kristo haikuwa shida, na mkuu mmoja wa mkoa wa tabora alimtaka Mungu ndio amshukuru rais kwa kazi mzuri anayofanyia watanzania, ilikuwa sawa kwa nini leo imekuwa nongwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.