Recent content by GOSSO MZEKEZEKE

  1. G

    Mfumo wa Makazi ujulikanao NaPA

    Asante sana kwa ufafanuzi, nimejaribu kufanya ulivyonielekeza lakini hakuna lolote. Namba niliyosajili NIDA ndio ninatumia hadi sasa, Mama yangu alikuwa mweneyekiti wa mtaa toka 2009 hadi sasa na nyumba imesajili na pia nimeingia kwenye website yao na nikiingiza namba ya simu au ya nida...
  2. G

    Mfumo wa Makazi ujulikanao NaPA

    Habari wana JF Naomba kupata uelewa wa mfumo wa makazi wa NaSA. Nina mtoto ananiuliza hiyo kitu wanasema inahitajika katika maombi ya mkopo chuoni, sasa sielewi ndio nini, mwenye uelewa anielekeze
  3. G

    Haji Manara anashikiliwa na Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam

    Itakuwa ishu ya kumsema mwijaku kuhusu makalio, kwa hiyo nahisi mwijaku atakuwa ameenda polisi kumshtaki na polisi wamemuita ili ajibu kuhusiana na tuhuma hiyo.
  4. G

    HESLB hawafanyi haki kwa hili

    Uliwahi kwenda benki kuomba mkopo?, ukiwa mtumishi wa private unapewa mkopo?, kwanini mabenki mengi wanawapenda watumishi wa umma kuwapa mkopo kuliko watumishi wa private au pengine hata wafanyabiashara?, Je uliwahi kuona benki inamkopesha msomi asiye na ajira bila kuwa na chanzo chochote cha...
  5. G

    Hivi hili deni ambalo Tanesco wanakata ukinunua Luku, wanakata kwa ajili ya nini?

    Kodi ya pango ni shilingi ngapi kwa mwezi? mbona sijawahi kuletewa deni?
  6. G

    Hivi hili deni ambalo Tanesco wanakata ukinunua Luku, wanakata kwa ajili ya nini?

    Habari zenu JF Naomba kuuliza mwenye kuelewa anijuze, nimenunua LUKU mwisho mwa meseji nimeona wameandika DEBT COLLECTED, Hili deni wanalokusanya ni deni Gani?, Kodi ya nyumba au ni Nini?,
  7. G

    Ukifanya Proposal Presentation inakuwa na marks ngapi na Dissertation ina marks ngapi?

    Habari wanaJF. Naomba kujua hivi proposal presentation inakuwaga na marks ngapi kiujumla? au marks huwa zinawekwa kwenye dissertation kwa ujumla na sio proposal peke yake, namaanisha marks zinatolewa baada ya kumaliza dissertation na sio kwamba propasal na disertaion zinakuwa na marks kila...
  8. G

    Nataka nijiendeleze kielimu, ipi njia nzuri kati ya kwenda Diploma na Advance?

    Kama ni masomo ya Arts nenda advance na kama ni masomo ya Science, nenda tu Diploma
  9. G

    Naomba kuuliz kuhusu PMP(Project Management Professional)

    Habari JF, Naomba kuuliz kuhusu PMP(Project Management Professional) certified imeanza kuwa ya lazima kwa baadhi ya taasisi za serikali? Maana kuna tetesi nimesikia kwa taasisi kama TANESCO NA TCRA wanataka watu waliokuwa na PMP hasa wahandisi, mwenye ukweli kuhusu hili anijulishe.
  10. G

    KERO CBE Dodoma hawatoi vyeti kwa ngazi ya Astashahada mpaka wamalize Stashahada

    Lakini wakati unaomba si wanasema three years diploma, Sasa unahitaji katikati cha Nini wakati three years haijaisha bado.
Back
Top Bottom