Mfumo wa Makazi ujulikanao NaPA

Mfumo wa Makazi ujulikanao NaPA

GOSSO MZEKEZEKE

Senior Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
185
Reaction score
214
Habari wana JF
Naomba kupata uelewa wa mfumo wa makazi wa NaSA. Nina mtoto ananiuliza hiyo kitu wanasema inahitajika katika maombi ya mkopo chuoni, sasa sielewi ndio nini, mwenye uelewa anielekeze
 
Habari wana JF
Naomba kupata uelewa wa mfumo wa makazi wa NaSA. Nina mtoto ananiuliza hiyo kitu wanasema inahitajika katika maombi ya mkopo chuoni, sasa sielewi ndio nini, mwenye uelewa anielekeze
NI Napa sio NASA national physical address...huu mfumo itafanya kazi vizuri Kama yule afisa mwandikishaji alifanya kazi yake vizuri....wakati wa sensa ya makazi Ila ya nape kuzunguka na helkopta...ndio kulikuwa ninatengenezwa hiki kitu...hivyo Basi Kama jengo lako makazi yako yalisajiliwa kwa namba ya nida yako au simu namba yako...unaweza kudownload app ya Napa au kwenda kwenye website ya Napa ukachagua jihudumie omba barua ya utambulisho ...jaza nida au simu...UTAPATA otp kwenye simu Kama namba yako ilisajiliwa kwenye makazi...ukijaza hio otp...ndio unaweza kupata Napa reference number ambayo utaijaza kwenye kipengele Cha pliminary information kwenye maombi ya mkopo..
Changamoto....
Kama namba yako ya nida au simu haikusajiliwa kwenye mfumo wa Napa unaelekezwa uende kwa serikali za mtaaa mtendaji ili aweze kuzisajii number za simu au nida....kiufupi tu uelewa wa Jambo Hilo Hawana au Napa hawajawekeza kwenye elimu au hawajawapa hio system...hapo ndio watakapofail kuomba mkopo..wachache watafaulu
 
NI Napa sio NASA national physical address...huu mfumo itafanya kazi vizuri Kama yule afisa mwandikishaji alifanya kazi yake vizuri....wakati wa sensa ya makazi Ila ya nape kuzunguka na helkopta...ndio kulikuwa ninatengenezwa hiki kitu...hivyo Basi Kama jengo lako makazi yako yalisajiliwa kwa namba ya nida yako au simu namba yako...unaweza kudownload app ya Napa au kwenda kwenye website ya Napa ukachagua jihudumie omba barua ya utambulisho ...jaza nida au simu...UTAPATA otp kwenye simu Kama namba yako ilisajiliwa kwenye makazi...ukijaza hio otp...ndio unaweza kupata Napa reference number ambayo utaijaza kwenye kipengele Cha pliminary information kwenye maombi ya mkopo..
Changamoto....
Kama namba yako ya nida au simu haikusajiliwa kwenye mfumo wa Napa unaelekezwa uende kwa serikali za mtaaa mtendaji ili aweze kuzisajii number za simu au nida....kiufupi tu uelewa wa Jambo Hilo Hawana au Napa hawajawekeza kwenye elimu au hawajawapa hio system...hapo ndio watakapofail kuomba mkopo..wachache watafaulu
Asante sana kwa ufafanuzi, nimejaribu kufanya ulivyonielekeza lakini hakuna lolote. Namba niliyosajili NIDA ndio ninatumia hadi sasa, Mama yangu alikuwa mweneyekiti wa mtaa toka 2009 hadi sasa na nyumba imesajili na pia nimeingia kwenye website yao na nikiingiza namba ya simu au ya nida hainiletei chochote., nimejaribu ku-download app yao na yenyewe nimefanya hivyo bado sioni chochote, naomba kujua kama uliwahi kujaribu ukafanikiwa?
 
Habari wana JF
Naomba kupata uelewa wa mfumo wa makazi wa NaSA. Nina mtoto ananiuliza hiyo kitu wanasema inahitajika katika maombi ya mkopo chuoni, sasa sielewi ndio nini, mwenye uelewa anielekeze
Mfumo wa anuani za makazi ni miundombinu ya mahali mtu au kitu kinapopatikana.kupitia mfumo huu sasa unaweza kupata barua ya utambulisho kupitia programu yetu tumizi inayopatikana playstore kwa jina la Napa Tanzania.

Kupitia app hii unaweza kuijua anwani yako pia.ukishafungua app katikati utaona sehemu inaitwa jihudumie ukibonyeza hapo utaweza kuona sehemu ya kuomba barua ya utambulisho na utaanzia hapo.

Ili uweze kuomba barua ya utambulisho lazima uwe na Anwani ya makazi na taarifa zako, wategemezi wako au wapangaji ziwe zimeingizwa.

Kupitia namba yako ya nida au ya simu iwe imesajiliwa kwenye mfumo.wakati wa operation wakusanya data walipita kila nyumba na walitoa namba ndio maana unaona nyumba nyingi zibandikwa namba. Kazi hiyo inafanywa na mtendaji wako wa mtaa wa mahali unapoishi.

Kama unapoishi kuna awani lakini taarifa zako hazipo unaweza kumuona mtendaji wako wa mtaa ili aweze ku update anwani hiyo na kuongeza taarifa zako na watu wako wanaoishi kwenye anwani hiyo.
 
Asante sana kwa ufafanuzi, nimejaribu kufanya ulivyonielekeza lakini hakuna lolote. Namba niliyosajili NIDA ndio ninatumia hadi sasa, Mama yangu alikuwa mweneyekiti wa mtaa toka 2009 hadi sasa na nyumba imesajili na pia nimeingia kwenye website yao na nikiingiza namba ya simu au ya nida hainiletei chochote., nimejaribu ku-download app yao na yenyewe nimefanya hivyo bado sioni chochote, naomba kujua kama uliwahi kujaribu ukafanikiwa?
sijawahi kufasnikisha ila ndio maelekezo ya mwisho wanatoa...fika kwa mtendaji wa mtaa au kijiji
 
Mfumo wa anuani za makazi ni miundombinu ya mahali mtu au kitu kinapopatikana.kupitia mfumo huu sasa unaweza kupata barua ya utambulisho kupitia programu yetu tumizi inayopatikana playstore kwa jina la Napa Tanzania.

Kupitia app hii unaweza kuijua anwani yako pia.ukishafungua app katikati utaona sehemu inaitwa jihudumie ukibonyeza hapo utaweza kuona sehemu ya kuomba barua ya utambulisho na utaanzia hapo.

Ili uweze kuomba barua ya utambulisho lazima uwe na Anwani ya makazi na taarifa zako, wategemezi wako au wapangaji ziwe zimeingizwa.

Kupitia namba yako ya nida au ya simu iwe imesajiliwa kwenye mfumo.wakati wa operation wakusanya data walipita kila nyumba na walitoa namba ndio maana unaona nyumba nyingi zibandikwa namba. Kazi hiyo inafanywa na mtendaji wako wa mtaa wa mahali unapoishi.

Kama unapoishi kuna awani lakini taarifa zako hazipo unaweza kumuona mtendaji wako wa mtaa ili aweze ku update anwani hiyo na kuongeza taarifa zako na watu wako wanaoishi kwenye anwani hiyo.
Hii barua ya utambulisho ndo ina hiyo napa namba inayohitajika bodi ya mikopo?
 
Sasa huyoo mtendaji unamzidi uelewa wa Napa...itachukua muda sana labda nae aajiri it
 
heslb hapa wamezingua sana kwenye kipengele cha NaPa kwa mwombaji(wanachuo) ilibidi kibaki kwa mzaz sababu wao ndio wakuu wakaya waliosajiliwa
 
Hiyo NaPa bodi ya mikopo inabidi waiondoe. Watendaji wenyewe wanakili kutokuwa na mafunzo nayo hata wenyevit wa mitaa hawakushirikishwa na haikufanyika kwenye mitaa yao.
 
watendaji wa kata hata hawauelewi huu mfumo wa NaPA wao wako facebook na insta, huu mwaka hiki kipengele au kigingi cha NaPA kitawasumbua sana wanaotaka kuomba mkopo wa elimu ya juu
Itakuwa wamekiweka maksud ili kuwa punguza waombaji. Una wezaje kuweka kipengele ambacho, kwanza watu hawana elimu nacho, pili hata kama elimu nimezipata hapa JF iala nikiweka namba ya simu au NIDA system inagoma.
 
NI Napa sio NASA national physical address...huu mfumo itafanya kazi vizuri Kama yule afisa mwandikishaji alifanya kazi yake vizuri....wakati wa sensa ya makazi Ila ya nape kuzunguka na helkopta...ndio kulikuwa ninatengenezwa hiki kitu...hivyo Basi Kama jengo lako makazi yako yalisajiliwa kwa namba ya nida yako au simu namba yako.
Hiyo anuani za makazi zenyewe zilisha ng'olewa kitambo ziko kwenye maduka ya skrepa
 
Itakuwa wamekiweka maksud ili kuwa punguza waombaji. Una wezaje kuweka kipengele ambacho, kwanza watu hawana elimu nacho, pili hata kama elimu nimezipata hapa JF iala nikiweka namba ya simu au NIDA system inagoma.
Ni kukwamishana Tu Ikifika mwezi wa 7/20 utasikia serikali yenu sikivu imeondoa kipengele kikwazo Kwa waombaji mikopo elimu ya juu
 
Back
Top Bottom