Nina mtoto mmoja,huyo atakaezaliwa ndo sina uhakika km ni wangu nasubiri azaliwe,yea nilitembea nae mara moja,nasikia wamama wa kambo wananyanyasa watoto mdomaana,huyu replecement nina karibia mwaka sasa toka nimekuwa nae na nimemuona ni mvumilivu kwani amenivumilia mambo mengi pia nimemchunguza...