Mke wangu atanifikisha pabaya

Mke wangu atanifikisha pabaya

Sasa wewe unaona kuna kosa la kurekebisha kuendelea kuishi na mwanamke malaya waziwazi na mshirikina?nimeshasema swala la kuniendea kwa waganga yeye mwenyew amelithibitisha sasa huamini nini??ww ungeweza kuendelea kukaa na mwanamke unaejua wenzio wamemvua nguo na bado anakuloga si ni muuwaji huyu?na alishawah kutishia kuniwekea sum mimi na mtoto sasa upendo uko wapi?
 
Mkuu pole sana, mi nakushauri mpige chin huyo mwanamke kwan anakutia aibu na anakudhalilisha.

kwa replacement mchunguze kwanza usiharakishe ndoa maana hawa watu wajanja sana kama kuna deal wanafukuzia, hizo ni pozi za muda tuu p'se take time for investigation
 
KAKA...kuwa mpole.
Siku ile ulipoanza kumpenda ile ndo formula yako ya kutatua hilo jambo.
Lakini kumbuka wewe ni KICHWA cha nyumba na uamuzi wako ndo dawa ya yote.
BE STRONG.
A WOMAN - SHE IS JUST LIKE A MIRROR IF YOU FIND HER SMILES YOU'LL SMILE BACK TO HER.
 
Ufahamu Wako utakuongoza kwa hili tatizo hili na sio watu wengine.
 
Sasa wewe unaona kuna kosa la kurekebisha kuendelea kuishi na mwanamke malaya waziwazi na mshirikina?nimeshasema swala la kuniendea kwa waganga yeye mwenyew amelithibitisha sasa huamini nini??ww ungeweza kuendelea kukaa na mwanamke unaejua wenzio wamemvua nguo na bado anakuloga si ni muuwaji huyu?na alishawah kutishia kuniwekea sum mimi na mtoto sasa upendo uko wapi?
piga chini kaka,mke wa mtu un na watoto unaenda kugawa k lako nje kwa nini? atafundisha nini watoto huto mtu hata hawezi kujiheshimu... tena katembea waziwazi kuonyesha kwamba wewe si lolote si chochote
piga chini hata vitabu vya dini vinasema mwanamke mzinzi apigwe mawe hadi afe afai tena huyo
 
Lakini jamani kwa hali ya kawaida km mwanamke unampa kila kitu alafu anatembea na wame za watu na bado anakuendea kwa waganga,kuna mapenzi hapo jamani?kuns kosa la kusamehe kutoka moyoni hapo?nasikiaga katika kosa ambalo mwanaume hawezi kulivumilia nipale akigundua mkewe wa ndoa anavulia nguo wanaume wengine tena wame za watu ni kweli c kweli?
Jamani fanya maombi ,kuwa na mwanamke mwingine sio solution,una uhakika kama na huyo naye hatakufanyia hayo,ila sali sana achana na wanawake wa nje watakusumbua sana.
 
Mambo ya upendo na waganga ni kama maji na mafuta, angalia usije kutunza kwenye chupa ukawa zoba
 
Kama mkeo ndio kwanza ana mimba (regardless ya miezi mingapi) huyu mwanamke mwingine ulianza kutoka nae lini mpaka ufikie uamuzi wa kumfanya replacement ya mkeo...?

Unajua wanaume wengi mmezoea kuchiti...mkichitiwa nyie pressure inapanda...pressure inashuka...mkeo hata kama alikuchiti kuna uwezekano mkubwa wewe ndio ulianza na yeye itakuwa alikuwa analipiza kisasi.

Hayo ya sijuhi namrudia mpaka ajifungue...akisha jifungua...utasema nasubiri mtoto akue...mmeshabomoa ndoa yenu.

Eti alienda kwa mganga who told you? Huyo replacement?

Nyie ndio mnafanya watu waogope ndoa kumbe mnakosa kujua kuwa ndoa ni kitu kitakatifu...inahitaji descipline ya hali ya juu kuweza kulinda ndoa yako...kuoa mwingine si solution.
shikamoo nyumba kubwa ,mimi love this!
 
Last edited by a moderator:
[/COLOR]]We fikiria tu kwa makini YUPI MTAMU SANAAAA, WHO MAKES YOU HAPPY, NANI TULIZO LA MOYO WAKO, NANI UKIISHI NAE UTAPATA AMANI!!!!! Baaaaaaaaaaaaaaaass! Mie nikikushauri nitakuwa muongo sababu ukweli moyo wako ndo waujua. Tafuta mahali furaha yako ilipo! Baaaaaaaass![/QUOTE]

Hilo ndio neno la msingi
 
Pia huyo mwanamke nilivyomuoa alikuwa ameshazaa mtoto na mwanaume mwingine,ikatokea kapata mimba yangu ikabidi nioe ila nilikuwa cjajua km kazaa

aise pole sn bro, huyo mwanamke kweli sio muaminifu km aliwahi kuzaa na akakuficha basi hapo tena achana nae tu,

hata huyo atakayezaliwa nenda kacheki dna uthibitishe km ni wako kweli..na huyo wa kwanza wa miaka 6 kacheki vile vile inawezekana asiwe wk, kumbe mimba alitundikwa huko akakusingizia huezi jua..

huyo replacement usimuendee kasi ya kutaka kumuoa manake unaeza kujikuta umetoa problem hii ukaingiza nyingine..

muweke kwenye list lkn usiwahi ndoa nyingine kwa ss...

ni kweli mm wa kambo wengi hawalei wtt vizuri, nami pia ni mmoja wapo nililelewa na mm wa kambo, shida niliyopata haisimuliki, atakupenda wkt bb yk akiwa nyumbani na akiwa hayupo ni balaa..
huezi amini mimi huyo mama yangu wa kambo alinilea kuanzia nikiwa na umri wa miaka 6 na alifariki wkt mie nipo chuo kikuu lkn kwa jinsi alivyonitesa ht kwenye msiba wk sikwenda wala sikuhuzunika...in short sipendi kabisa mtt alelewe na mm wa kambo km mm yk yupo hai..ni bora mama mzazi ht km hawapendi wtt lkn hawezi kuwanyanyasa km mm wa kambo.....ni wachache sn wazuri, wengi wao wanaficha makucha na kujionyesha wazuri ili asimuudhi mume/mwanaume lkn deep inside wana chuki sn....
 
Back
Top Bottom