KItu kimoja cha kuzingatia ni kwamba, ajiri mtu ambaye utaweza kumpeleka polisi/kumuwajibisha pale atakapomess na biashara zako. Ukiajiri ndugu/marafiki/ndugu wa mkeo/marafiki wa mkeo... wakizingua, utaweza kuwawajibisha?
Akija kukopa unamwambia aende akakope bank au kwenye taasisi zinazokopesha. Vinginevyo ukiendelea kukopesha watu iko siku utaangalia notebook yako ya watu unaowadai unakuta unadai fesha kiasi cha kutosha bajeti ya wizara moja 😀😀 na hawana mpango wa kurudisha.
Kukopesha sikuhizi ni kama kufanya risk business, kopesha the amount you are willing/affording to lose, otherwise you will learn in the hard way.
Kukopeshana kumevunja sana urafiki.
We nawe utatapeliwa kirahisi sana, Jaguar gani ya milion 400+ anamiliki? Jaguar anayomiliki si ile Jaguar series za XF mpaka mil 25 unaipata used from Japan?
Gari anayomiliki si ndio hii
Nenda Be forward kaangalie Jaguar XF zinaenda kwa bei gani uache kupangwa kwamba gari ni ya mil 400+
Ingekua ni ile Jamiiforums kabla ya 2015, huu uzi mods wangekua washaufuta na unapigwa ban ya miezi 6 kutoshiriki chochote hapa JF. Mods siku hizi wanaacha wagonjwa wa akili kama wewe kuendelea kupost kila siku.
Mkuu Itoshe kusema wachambuzi wa Magharibi, vyombo vya habari, na wanasiasa kwa namna flani walipuuza uwezo wa kijeshi wa Urusi.
Hakuna mtu anayepinga mtu flani awe/asiwe na mapenzi juu ya nchi flani, ila mapenzi yasitie upofu wa mtu kushindwa kuchambua mambo in 3D.
Binafsi sishangazwi na Pro...
Nimesikia hilo pia kwamba wana plan ya kujenga new campus Kigoma.
MUHAS pale Mloganzila nadhani walishindwa kuiendesha ile ndio maana wakapewa MNH waiendeshe, ishu kubwa itakua hawakua na uzoefu wa kuendesha hospital, labda itakuja kurudishwa kwa MUHAS miaka ya badae.
Ila mloganzila palijengwa...
Organogram ya MUHAS nadhani imebadilika hiyo uliyoiweka ni ya zamani kidogo, kuna vyeo pia naona vimevunjwa mfano DVC mmoja alikua anasimamia Academic, Research & Consultancy kwa sasa kuna DVC anayehusika na Academic kivyake na DVC mwingine anahusika na Research & Consultancy.
DVC-Planning...
Wanatakiwa warudi tujadiliane hii ni open thread sio uhasama wala uadui, waje watoe maoni yao kwamba kwa nini walifikiri western walikua nyuma ya mzee Prigo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.