Recent content by goodlif1600

  1. goodlif1600

    Ndugu Amos Makalla na ndugu Nchimbi hamna mvuto mmepoa sana wananchi hawawaelewi

    Unakosea mkuu wanyonge tunapenda aliyeko huu akiharibu ashushwe awekwe Mtu making asiye na uzembe ili atuhudumie vzr.
  2. goodlif1600

    Ndugu Amos Makalla na ndugu Nchimbi hamna mvuto mmepoa sana wananchi hawawaelewi

    Utakua ndo Amos makala wewe unajitetea Ila ukweli ni kwamba kueleka uchaguzi mkuu -2025 chama kilitakiwa kizungumziwe kila siku (Trending) na kazi hii anaiweza Ndg. Paulo makonda
  3. goodlif1600

    Kampuni ya PepsiCo

    Mtoa mada ongeza nyama kwenye hii thread tuelewe
  4. goodlif1600

    Kwanini Tanzania latest Car ni chache sana kuonekana. Bado wanaagiza Magari ya 2000-2010

    Kipato cha watanzania wengi ni kidogo sana mkuu hatuwezi kumudu uagizaji wa gari latest.
  5. goodlif1600

    Rais Samia umeanza kunikosha, bado Sabaya tu

    Rais amekukuna? Ebu tuache masihara Rais hawezi kufanya ivo
  6. goodlif1600

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza apewa wiki tatu na Mwenezi Makonda kuhakikisha Hospitali ya Sengerema Inafunguliwa

    Siasa ndivo zilivo mkuu...kila mtu anawajibika katika nafasi yake hakun baya LA ndugu yetu Paul makonda haoo
  7. goodlif1600

    Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

    Nimesoma Tosamaganga 2009-2011 sijawahi sikia ilo swala
  8. goodlif1600

    Serikali iwaajiri Walimu wahitimu wa mwaka 2015-2018 kwa mkupuo

    Kwa utafiti nilofanya walimu wengi wapo mijini huko vijijini kwenye uhaba wakipangwa wanaenda wanakaa kidogo wanahama.kwaio tatizo linabaki vile vile Lkn ifike mahala graduatess mliosomea ualimu msione kama ni lazima serikali iwaajiri.Huo utaratibu ulikuwepo lkn imefika wakati ambao graduate...
  9. goodlif1600

    Serikali iwaajiri Walimu wahitimu wa mwaka 2015-2018 kwa mkupuo

    Hivi ukisomea ualimu inakua lazima kwa serikali kukuajiri ?
  10. goodlif1600

    Zembwela/ Manara Wana maisha mazuri kuliko Profesa wa Tanzania

    Hata ivo wasio wasomi ni wengi kuliko wasomi kwaio ukicrosss multiplication unapata ulichokisema
Back
Top Bottom