Mkuu serikali haiwezi kuajiri graduates wote waliopo mtaani ...kwaio kwa maarifa uliyonayo tena degree holder kabisa wa miaka saba mtaani endelea kufanya unachofanya kwa bidii I hope utafanikiwa zaidi kuliko kwenda kuanza ualimu
Nimesikitika sana ..
kwaio uliamua kushindana na mwanamke
Kijana kwa ujinga huu hautaweza kuja kuishi na mwanamke ndani.
Mwanamke akiongea Mara nyingi anatumia hisia sio akili kwenye situation kama iyo ulipaswa kumsikiliza na kumuacha lkn sio kufanya ukichifanya kwa hao watoto
Watu wanacholalamika ni double standard iliyopo kwenye muungano unakua mtanzania ambae huna haki upande mmoja wa muungano alafu wale wa upande wa pili wana haki zote kila sehemu.
Utakua ndo Amos makala wewe unajitetea
Ila ukweli ni kwamba kueleka uchaguzi mkuu -2025 chama kilitakiwa kizungumziwe kila siku (Trending) na kazi hii anaiweza Ndg. Paulo makonda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.