Utakua ndo Amos makala wewe unajitetea
Ila ukweli ni kwamba kueleka uchaguzi mkuu -2025 chama kilitakiwa kizungumziwe kila siku (Trending) na kazi hii anaiweza Ndg. Paulo makonda
Kwa utafiti nilofanya walimu wengi wapo mijini huko vijijini kwenye uhaba wakipangwa wanaenda wanakaa kidogo wanahama.kwaio tatizo linabaki vile vile
Lkn ifike mahala graduatess mliosomea ualimu msione kama ni lazima serikali iwaajiri.Huo utaratibu ulikuwepo lkn imefika wakati ambao graduate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.