Recent content by goodfool

  1. goodfool

    Msaada PC haitaki ku print kabisa

    kwa zingineinafanya, na driver ni zilezile, ishu ni kwamba inagoma printer zoote, nime solve ishu zote za spooling na update zooote
  2. goodfool

    Naomba msaada wa kutatua tatizo kompyuta kugoma ku print

    Habari ndugu zangu, kuna desktop niniatumia tatizo haitaki ku print nimebadili windows na os hadi linux, nimeweka kila driver ila inagoma ku print printa yoyote ile. Printer mpaka inatambuliwa na pc ila ukisend job haitaki Naamini mmenielewa ndugu. kwa ambaye alishawahi kukutana na changamoto...
  3. goodfool

    Msaada PC haitaki ku print kabisa

    Habari ndugu zangu, kuna desktop niniatumia tatizo haitaki ku print nimebadili windows na os hadi linux, nimeweka kila driver ila inagoma ku print printa yoyote ile. Printer mpaka inatambuliwa na pc ila ukisend job haitaki Naamini mmenielewa ndugu. Kwa ambaye alishawahi kukutana na changamoto...
  4. goodfool

    Msaada kujua gharama ya kufyatua tofali 4,800

    NATAKA KUFYATUA 45 JAMN
  5. goodfool

    Uhusiano kati ya suala la DPW, kutukanwa Rais na ugumu wa maisha

    Watu wengi hasa vijana wamekua wakipinga kwanguvu na kwa lugha ngumu na msisitizo kuwa Bandari isipewe wawekezaji. Je kuna uhusiano kuwa wengi wao na ndugu zao wananufaika na ajira za Bandarini na mishe mishe za pale ambazo wanahisi muwekezaji itakua ndo mwisho wa wao kula? Je ukosefu wa ajira...
  6. goodfool

    Ikoje likizo bila malipo?

    Una uelewa lakini, na je umejibu swali?
  7. goodfool

    Naomba wazo la biashara ya kuanzisha kwa mtaji wa milioni 5

    Sitaki zambi, utapeli, ujanja ujanja
  8. goodfool

    Ikoje likizo bila malipo?

    Wakuu habari Mwenye uelewa na Likizo bila malipo kwa watumishi kama wa afya, elimu na serikali kuu anieleweshe Je kuna ukomo Je utaratibu ukoje. Asante
Back
Top Bottom