[emoji39]iyo sio poa mzee baba unamuongelesha kwa ukaribu na sikio kama unalipuliza kwa pumzi ya moto iv Mara moja moja ulimi uingie sikioni apo unaua [emoji1787]
Umezungusha maelezo sana Ila mwanamke mpe huduma yan avae vzuri ale vizuri mkule vizur pia mthamini hapo umeua hayo maelezo utaenda kuwapa notes darasa la 7B
Mimi kuna mshikaji flan iv alikuja npo zangu job akaniambia pole kidume kabisa unanipaje pole nlimaind sema sikumuambia
Yan pole ya nn kwamfano unanihurumia kwa sababu zipi[emoji6]
Tunakosea kwenye kutafuta wengi wanao oa wanaangalia shape sura chura rangi bila kujua kwamba watu Kama hao wana uhitaji mkubwa sana kwa mabaharia hasa mijini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.