No wew kama unauwezo wa kumsaidia msaidie na sio kutangaza kwamb umeombwa msaada hizo zinakua kam zile ambayo ikitongozwa inatangaza wew ulitakiwa umwambie huko na sio sis
Sawa wanakosea lakin hata wew umekosea na sio kila mtu anauwezo wa kukabiliana na matatizo yake mwenyew yeye kakuomba msaada akiwa na iman utamsaidia wew unakuja hum kutangaz na unasema akaombe msaada mtaani kwao je kam ameanzia hjko mtaan na wameshindwa kumsaidia wew kam ulikua hauna uwezo ama...
Swali zuri ila mda mwingine hayo mashirika ya nje yamekaa kimasirah zaid yaan wanafany jamb ambalo lina faida kwao. Nacho maanisha yanaweza kutumia njia hiyo ili kuipa presha serikal imekubaliane na matakwa yao either mikataba na mamb mengne so wanaamua kutumia presha ya hayo machafuko ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.