Recent content by goney

  1. G

    Kamanda Ngwatta arejea ulingoni

    Mungu amtie nguvu na atashinda hakika
  2. G

    Mwenye kujua vigezo vya low tarrif Tanesco

    Unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha kuwa matumizi yako ya Umeme hayazidi unit 75 Kwa mwezi Kwa miezi mitatu iliyopita,hivyo baada ya hapo unaandika barua Tanesco husika iliyopo Katibu nawe ukiomba kuhamishwa kutoka tarif 1 kwenda tarifu 0. Baada ya hapo utapewa jibu Kama umekubaliwa then utapewa...
  3. G

    Barua ya msajili kuhusu mgogoro wa ACT - Tanzania hii hapa

    Watashikana uchawi Sana mwaka huu.
  4. G

    Membe ni tajiri wa fikra, taaluma yake haina chembe ya shaka

    Kati ya mm na wewe Nani anayetokwa povu. Unasema niprove unataka niprove mini,jieleze ueleweke. Je huoni Kama mleta mada ndo anayetakiwa kuprove? Tafakari kabla ya kupanic MZEE. Hili ni jukwaa LA hoja sio kelele
  5. G

    Mgombea urais kwa tiketi ya CCM 2015 ameshapatikana

    Fisadi amewafisad nn?? Msiwe mnaongea bila ushahidi. Goa ushahidi watu wakusuport lakini sio Mara jinamizi Mara fisad hiyo yote ni mipasho ya kike,. We Kama unajiamini unaikweli WA unayoyaongea toa uthibitisho
  6. G

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    Lowasa alishakatwa uchawi wapi na lini na Nani?? Ili tujiaminishe kukupa wewe??na kwalipi kubwa uliloitendea Tanzania,maamuzi magumu kwenye familia yako labda uongee na mkeo akupe nchi yake na sio nchi ya Tanzania.
  7. G

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    MKUU hili ni swali au unasaport maana sijakupata vizuri.
  8. G

    Chuo Kikuu DSM watoa Ripoti Mbio za Urais 2015 "Mwigulu anaongoza"

    Lowasa ndiye Rais ajaye hizi zingine ni kelele za chura tu hazimtish tembo kunywa MAJI.
  9. G

    Membe ni tajiri wa fikra, taaluma yake haina chembe ya shaka

    Jamani tuwe tunatafakari kabla ya kuandika,eti mseminari. Kwani Kama ni mseminari ndo aaminike?? Waseminari wangapi wanafanya ----- mtaani kwenu? Membe ni MTU mnafiki anauejifanya mnyenyekevu ili watu wamwamini wampe nchi,hapana kwakweli. Tusidanganyike na useminary wake. Niwaombe watanzania...
  10. G

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    Na hivyo ndivyo ninavyomaanisha,tunahitaji MTU mwenye maamuzi magumu atakayeweza kukemea rushwa na ufisadi naye Si mwingine ni Lowasa tu
  11. G

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    Wakuu tusiongee vitu tusivyokuwa na uhakika navyo,wale wanaosema Lowasa ni mwizi waje na ushahidi. MF. Tar. Flani mwaka flani aliiba sh. Flani sehem flani,hata Kama ni hizo 10% unatakiwa kusema alichukua 10% kutoka Kwa mtu flani au mradi flani,sio tu Kwa sababu zako binafsi bas unaamua kumchafua...
Back
Top Bottom