Recent content by GOMOKA

  1. G

    Mzee huyu anaukweli gani juu ya kijana wa leo wa kitanzania?

    Nikiwa katika eneo la soko kyela mjini,nawaona vijana wa bodaboda watano wakibishania masuala ya siasa hususani kuhusu vyama.wanne kati yao walionekana kukiunga mkono chama cha chadema kuwa ndicho kinachofaa kuongoza nchi na kuwatoa katika umasikini,na mmoja alibaki alionekana kusimama kidete...
  2. G

    Yaliyojiri: Mkutano wa Dr.Slaa Kyela

    Haya ndio yaliyokuwa maneno ya Slaa,baada ya kuombwa kutoa ufafanuzi na kijana wa CHADEMA kuhusu swala la Zitto: "CHADEMA katka nidhamu haijaogopa,vinginevyo hatutakuwa tofauti na CCM.CHADEMA tunajiamin,Tukisimamia kitu tunajiamini tutakisimamia.Kama tusiposimamia maadili ndani ya chama hatuna...
  3. G

    Yaliyojiri: Mkutano wa Dr.Slaa Kyela

    uwezi kuamini maelfu wa watu walivyojaa katika uwanja wa siasa wilaya ya kyela licha ya mvua kubwa na upepo mkali wa ziwa nyasa.watu wamegoma kusogeza hata nukta ya unyayo mpaka wamsikilize Dr. slaa
  4. G

    Lowassa awapasha akina Nape na Mangula...

    inashangaza pale mwenye nyumba anapoanza kumuogopa mbwa wake aliyekosa nidham,na aliyemtumia kuharasi majirani.you reap what you sow.just wait and see the power of corruption.
  5. G

    Najikuta naanza KUIKUBALI CHADEMA..!

    hakuna jambo baya na linalouma sana kama kumuona kijana msomi mtanzania,anayeamua kutetea uovu wenye kuaribu utu na maadili ya jamii,kwa upenzi wa chama kilichopo madarakani.
  6. G

    Uchambuzi wa dr. Lwaitama kuhusu sakata la Zitto na maamuzi ya kamati kuu ya CHADEMA

    nmefarijika kuona kuwa Mungu ametubakizia wasomi wachache wenye muono mpana na hekima safi.
  7. G

    Kwa nini Zitto anautaka sana uenyekiti CHADEMA?

    ukimsifia mgema tembo ulitia maji,zito si kiongozi,amejaa maneno yenye hamasa kwa wajinga,yasio na ukweli ndani yake.tamaa ya madaraka ndio tatizo
  8. G

    Ufafanuzi wa CHADEMA Kuhusu Maazimio ya Kamati Kuu - Novemba 2013

    lazima tujifunze kuwajibika,kuleama ni sera ya ccm.heri chama kitetereke kuliko kulea dumilakuwili
  9. G

    Lengo la Uongozi lisiwe Madaraka bali Mabadiliko yaliyojaa Utu – LEMA

    kuudhiaki ujumbe huu,ni kudhiaki ukweli ambao ni hatua thabiti ya kupotea na kushindwa.kizazi cha nyoka...
  10. G

    Lengo la Uongozi lisiwe Madaraka bali Mabadiliko yaliyojaa Utu – LEMA

    kuudhiaki ujumbe huu,ni kudhiaki ukweli ambao ni hatua thabiti ya kupotea na kushindwa.kizazi cha nyoka...
  11. G

    Pccb na interview zao

    kwa njisi hii,kupata ajira tz imekuwa sawa na kuipata mbingu
  12. G

    Ukaguzi wa Ruzuku kwa CHADEMA, CCM: Tumwamini Zitto au Vyama?

    zito na mwakyembe ni mapach.maneno mazuri yenye hila ama nia chafu ni hatari kama nyoka wa sumu kali
  13. G

    Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

    kila mwenye akil timamu na mwenye hekima,Dr. Slaa kwake ni kiongozi na mkombozi atarajiwaye wa tz na afrika
  14. G

    Mwigulu Nchemba ni hazina ya taifa,nimemfahamu,nimeona upako wa uongozi ndani yake

    C muda wa kuongozwa na talent,bali uadilifu,uaminifu na uwajibikaji.kama ni talent hata shetan anazo nyingi.angalia ucje fall in love with the devil.
Back
Top Bottom