EPZ inachukua eneo kuanzia unapovuka Mto Mkuza ukiwa barabara ya Bagamoyo na usawa huo huo mpaka baharini na eneo lina extend kupita Zinga na kuendelea mpaka Kaole, Kiromo na Kitopeni. Lakini eneo la Bandari liko upande wa baharini likiwa imezungukwa (engulfed) na EPZ. Inasemekana (sina uhakika...
ViwanjaVilivyopimwa (Surveyed Plot) – Maeneo ya Bagamoyo. Ndugu, nakupongeza kwa fikara zako za kutaka kuwekeza kwenye viwanja au shamba pande za Bagamoyo. Kuna viwanja (SurveyedPlots) zinauzwa Tshs. 13,500.00 kwa meta moja ya mraba (TZS 13500.00 per square meter). Viwanja hivi vipo 6 km...
Kuna viwanja (Surveyed Plots) zinauzwa Tshs. 13,500.00 kwa meta moja ya mraba ( TZS 13,500.00 per squaremeter). Viwanja hivi vipo 6 km kabla ya kuingia Bagamoyo mjini ukitokea Dar esSalaam, upande wa kushoto. Eneo hilo linaitwa Mataya. Ramani ndogo pamoja nachati inayoonyesha viwanja hivyo...
CharterMaster, Sijakupata vizuri ulivyosema "…2004yrs/11months…" una maana gani!
Nauliza hivyo ili kujua kama gari hilo lilisajiliwa kwa mara ya kwanza 2004 mwezi Novemba au la, kwani inaweza kuleta tofauti kubwa sana ya kama TZS 2,045,000.00 kwa exchange rate ya 1USD = 1600TZS
Kwa...
Mkuu KVM na Malila! Nawashukuru sana kwa moyo wenu wakupenda ku-share information ambazo zinaweza zikafuta ufukara kwa watu tuliowengi. Ni watu wachache wenye mioyo ya kutaka kujuza wengine kwenye mambo yamaana kama haya.
Nimefuatilia thread yote toka ilipoanza Aprili 2012 (mwaka juzi sasa)...
Ndugu yangu, mtaji ukikua unaweza kupata Imported Incubator (ambayo ni sophisticated) yenye uwezo wa kutotoa mayai 1000+ inaweza kupatikana kwa takribani TZS 1,850,000.00. Ziko very automated. Ukihitaji baadaye basi unaweza kuwasiliana name kwenye 0754 787 775 au 0655 787 775.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.