Recent content by gogogumu

  1. gogogumu

    Nikiendesha Gari inakula mafuta hatari

    Pia jaribu kuangalia na mfunobwa umeme yaani plugs na kabureta, otoneta nk, mfumo wa upumuaji wa gari yaani air cleaner nadhani utapata jibu
  2. gogogumu

    Shikamoo wewe kipofu uliyeniibia pikipiki na ukaiendesha

    Huo wizi upo sana, ila mara nyingi hua wanapanda mwanamke na mwamaume halafu mdada andosndosha kiatu halafu wanakuomba ushuke uwaokotee, hilo vumbi lake watalokuachia sio la nchi hii.
  3. gogogumu

    Naomba kujulishwa jinsi ya kufika Brazil

    Nitafute niku direct kwa mtaalum wa hizo ishu kwa gharama ndogo sana usiogope, tena unamlipa Visa ikitoka. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. gogogumu

    Kuhusu wanaoombewa na kupona HIV makanisani

    Mimi hapa niliombewa nikapona ilkua mwaka 2004 na nipo safi mpaka leo na nimeshapima mara kadhaa nipo negative, unatakiwa uwe na imani ya kutosha. Mungu akutie nguvu mpendwa usigope hakuna linalomshinda Mungu. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. gogogumu

    Kusikiliza radio kwenye Computer

    Asante mkuu this app is very useful nimepata mpaka radio za kenya na malawi na Africa nzima mpaka Ulaya na Anerica aisee
  6. gogogumu

    Panya wa sasa hivi hawakamtiki kirahisi ni huku kwangu tu au?

    Usiweke nyingi maana ikiwa nyingi wanaisikia harufu mkuu, pia nakushauri tumia nyanya igawe mara mbili, kisha pakaza kwenye uso wa kila kipande viwekwe maeneo mawili tofauti, hasa kwenye njia yao, pia weka juu ya gazeti, hakikisha hakuna maji yanayolala wazi au kama kuna sufuria za maji machafu...
  7. gogogumu

    Mke wa Mzee Majuto afukuzwa aomba msaada kwa watanzania

    Naomba tuletee link ya video hapa kama unayo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. gogogumu

    Mke wa Mzee Majuto afukuzwa aomba msaada kwa watanzania

    Achezo habari za uzushi jamani, mimi mzee Athumani Amri (Majuto) ni mzee wangu, Mjomba wangu hakuna taarifa kaka hizobkwenye familia yetu, nakanusha vikali, mleta uzi tafadhali muogope mwenyezi mungu acha kuandika taarifa usizokua na uhakika nazo, God is watching you brother Sent using Jamii...
  9. gogogumu

    Uliwahi kuwaza kumtumikia Mungu ukahairisha? Pita hapa

    Amen umeni inspire sana mtu wa mungu, mimi nilikua mhubiri na muinjilist lakini kutokana na changamoto za maisha niliamua kusimama kwanza, najua mungu atanitia nguvu nitasimama tena, Amen
  10. gogogumu

    Ambwene Mwasongwe: Mwanamuziki bora kabisa wa Injili ambaye hatajwi sana

    Huyu Mtumishi Wa mungu kwanza ni muombaji sana nadhani ndio maana hata nyimbo anazotoa hua ni za kutoka rohoni kiukweli, Kama utamchunguza kwa makini nyimbo zaku zina uponyaji ndani yake, pia ni mnyenyekevu sana, ni miongoni mwa waimbaji wachache wa injili kwenye hofu ya mungu amen.
  11. gogogumu

    Vifurushi vya chuo

    Nadhani hiyo huduma sio kwa wateja wote, mimi hua najiunga lakini wananiambia ni ofa ya yakwangu tu, hivyo nadhani sio wenye namba zote wanaweza kujiunga mahali popote, nadhani ikiwa inakusunbua ni bora uende eneo la chuo
  12. gogogumu

    Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

    Watu wa type hiyo Rwanda wapo wengi sana niliwaacha kule
  13. gogogumu

    Tigo ni wezi wakubwa katika huduma zao.

    Mimi sasa nimehamia voda naona hawa wengine wote ni wpiga dili,, hata mimi wamenipa hiyo ofa ya 2000 kwa 5gb nadhani sio kwa wateja wote isipokua ni kwa wale wateja waliotumia line zao kwa muda mrefu, coz mimi laini yangu ni ya mwaka 2007 so ina miaka takriban kumi sasa
  14. gogogumu

    Mwanamke kuelezea marafiki zake alivyofanya sex na mpenzi wake

    Huyo kibamia hakuwafanya nnavyotaka mimi. ningekua mimi mingezibua marinda group zima dadadadeki mkome Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom