Recent content by gody5m

  1. G

    Makapuku Forum

    Makapuku mnalala sana ndo shida.....:rolleyes:
  2. G

    Ni uzembe wa Madereva/Miundo au Sera zisizotekelezeka

    Kuna maswali nahisi huwa yanaweza kukosa majibu ! tunapolalamika kuhusu ubovu wa miundombinu ya barabara hususani hapa jijini Dar es salaam na zaidi kipindi hiki cha mvua. Barabara nyingi zinapata mashimo na pengine kuharibika kabisa na kulazimika kutumia pesa zetu walipa kodi kuzikarabati mara...
  3. G

    Vikosi maalumu 16 bora na hatarishi zaidi duniani, Tanzania ni ya tatu!

    saimon111 sorry unaweza share huo waraka au kwa link naweza ipata labda nadhani nimeanza kukuelewa
  4. G

    Vikosi maalumu 16 bora na hatarishi zaidi duniani, Tanzania ni ya tatu!

    lakini ni swali hilo au na wewe uko kwenye ubao wa kusadikika !!!!
  5. G

    Vikosi maalumu 16 bora na hatarishi zaidi duniani, Tanzania ni ya tatu!

    Habarini wana JF, kuna tetesi kuwa Jeshi la Wananchi Wa Tanzania (JWTZ) limekua miongoni mwa Majeshi Bora 30 Duniani, Kuna mwenye uthibitisho katika hili!!! na kama ni 30 kwa Afrika ama Dunia mzima Pia Msaada tafadhali ni vizuri taarifa nzuri kama hizi tukiwa tunazijua kwani ni sehemu ya sisi...
  6. G

    Maajabu ya khanga!

    Bitoz sikuwezi aisee na uzi wako huuu #heshimakwakhanga
  7. G

    Bulembo: Walioisaliti CCM wakati wa uchaguzi wajiondoe wenyewe

    chama kitajengwa acha tujenge nchi kwanza kazi bado ni kubwa sana kisepi
  8. G

    Bulembo: Walioisaliti CCM wakati wa uchaguzi wajiondoe wenyewe

    of course sasa hivi tupo kitaifa zaidi sio kivyama target ni kuona Mama Tanzania inasonga mbele, najua haiwezi fikia hatua tukalingana vipato lakini kutopishana kwa kiwango kilichopo sasa cha umiliki wa ardhi, mapato na kuongezeka kwa ( per capital income) imbayo inaweza kuwa angalau afadhali na...
  9. G

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mmiliki usiye na hati miliki na ulipi kodi..
  10. G

    Makapuku Forum

    Basi we kua rafiki yangu aka kapuku mkorofi
  11. G

    Makapuku Forum

    si naona mnaongelea mnara aisee ha ha ha
  12. G

    Makapuku Forum

    sijaelewa kwani Arusha kuna kasehemu unadownload App ya hela ama mtujuze aisee wengine tuko jotoni huku......
  13. G

    Hakika Pasco alikuwa sahihi kuhusu Magufuli

    Mkuu kumbuka na katibu nae hayupo ambaye ni mfano tosha kwa waliobaki.....
  14. G

    Majambazi watatu wauawa na Jeshi la Polisi Kahama, Shinyanga

    Ameongea kamanda mpya Mkoa Mwanza jana kwamba hakuna sababu ya kuwajeruhi maana wao lengo ni kukuua wewe ukicheka nao itakula kwako ua alafu taratibu zingine zitafuata lakini unajua ushapunguza,,,,, Hawa hawana uzuri wowote yaan ..... Mungu aendelee kuwasaidia aisee maana hata mishahara na...
  15. G

    Makapuku Forum

    ndo nshakaribia nipite ndani ama !!!!
Back
Top Bottom