Kuna maswali nahisi huwa yanaweza kukosa majibu ! tunapolalamika kuhusu ubovu wa miundombinu ya barabara hususani hapa jijini Dar es salaam na zaidi kipindi hiki cha mvua. Barabara nyingi zinapata mashimo na pengine kuharibika kabisa na kulazimika kutumia pesa zetu walipa kodi kuzikarabati mara...
Habarini wana JF, kuna tetesi kuwa Jeshi la Wananchi Wa Tanzania (JWTZ) limekua miongoni mwa Majeshi Bora 30 Duniani, Kuna mwenye uthibitisho katika hili!!! na kama ni 30 kwa Afrika ama Dunia mzima Pia Msaada tafadhali ni vizuri taarifa nzuri kama hizi tukiwa tunazijua kwani ni sehemu ya sisi...
of course sasa hivi tupo kitaifa zaidi sio kivyama target ni kuona Mama Tanzania inasonga mbele, najua haiwezi fikia hatua tukalingana vipato lakini kutopishana kwa kiwango kilichopo sasa cha umiliki wa ardhi, mapato na kuongezeka kwa ( per capital income) imbayo inaweza kuwa angalau afadhali na...
Ameongea kamanda mpya Mkoa Mwanza jana kwamba hakuna sababu ya kuwajeruhi maana wao lengo ni kukuua wewe ukicheka nao itakula kwako ua alafu taratibu zingine zitafuata lakini unajua ushapunguza,,,,, Hawa hawana uzuri wowote yaan ..... Mungu aendelee kuwasaidia aisee maana hata mishahara na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.