kuna bwana mdogo alivuma miaka 2010 - 2012 alikuwa wa Iringa
alikuwa na kichogo hivi
moja ya maneno kwenye wimbo wake hiphop........ msinishangae vile nina kisogo...........
Sema wenzetu wengine mlikuwa wakishua unajua hii miaka unanunua simu unaweka ndani unatafuta hela kununua line(simu card) nakumbuka nilikuwa primary shule nzima simu alikuwa nayo mwalimu mmoja tu limche la sabuni lilikuwa likaa kwenye gari tunaenda kulichungulia tu kwenye vioo
Sasa akaja...
Kula na like yangu aisee watu wanakosoa sana
Yaani Wewe soma pita hivi hata kwenye hadithi za kutunga kuna cha kujifunza
Sasa kwa maelezo haya mafupi tu kwa upande wangu umemaliza
Na Sio DECI tu
Kuna kitu hapa Juzi juzi ya KALYINDA na ESCATEC watu wamenyooshwa hivihivi na hakuna majibu mpka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.