Jambo moja tu la kuweka fedha zao Kwenye mabenki ya kwetu litafungua tatizo la mzunguko Wa pesa kwani benki zitakuwa na kiwango cha ziada kuweza kukopesha Watu na ata riba za mabenki zitapungua... Pia ofisi Kuwa tz ni jambo kubwa kwani ajira..mafunzo... Miundombinu utabadilika... Kodi za...
Kuna taarifa za kufutwa kwa kampuni ya Nicol Tanzania Kwenye list ya makampuni ya Tanzania huku kukiwa na idadi kubwa ya wamiliki wa kampuni ya Nicol hawajui kinachoendelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.