Kuna taarifa za kufutwa kwa kampuni ya Nicol Tanzania Kwenye list ya makampuni ya Tanzania huku kukiwa na idadi kubwa ya wamiliki wa kampuni ya Nicol hawajui kinachoendelea
Hiyo ilishakufa kitambo mwanza walinunua kiwanda mfu cha samaki mali ya mjumbe wa bodi kwa billioni,kiwanda mpka leo hakijawahi zalisha hata kg 1 ya samaki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.