Mkuu,
Kwanza hongera kwa mpango wako wa kuamua kujiajiri. Napenda kukutia moyo sana juu ya uamuzi huo. Niko Guangzhou - China, tuwasiliane kwa +862086666888 au ni PM namba yako kuna bidhaa nyingi hapa unazoweza kuanzia kwa sasa.
Kwa Tanzania hizi gari zipo bei ya chini sana mkuu sitarajii kufikia bei hiyo. Kwani kwa Japan tayari wameshaziweka kwenye Cleaning Open Market. Hivyo hata 850USD to 1000USD unaipata. Pamoja na kodi na usafiri haiwezi kufika 3000USD kwa Tanzania. Pengine ungeangalia soko kwanza kabla ya...
Juzi Jumanne mwenyekiti wa wazazi wa wilaya wa CHADEMA na mwenyekiti wa kijiji cha Tsuduni CHADEMA walivua kombati wakavaa magwanda. Hapo ni delete CCM au delete CHADEMA?
Mkuu, sijui kama umewaza vya kutosha kabla ya kuandika huu uzi. Iko hivi; Mwaka 1992/95 ndio vyama vya Upinzani vimeanzishwa/kuanza kazi. Kabla ya hapo Watu wote walikuwa CCM (Kwa kutaka au kwa lazima ya mazingira) sasa ukisema kuwa vyama hivyo havijawahi kutengeneza viongozi wao wenyewe...
Bei nilizoweka ni bei za kununua hapa China. Gharama za kusafirisha ni kati ya 150USD hadi 200USD kulingana na uzito wa machine kwa sababu huwa natumia usafiri wa Ndege ya mizigo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.