Huyu anayesema Lowasa ni mwizi ameibiwa nini? Mbona hamjampeleka hata kwa mjumbe basi kama mmeshindwa kumpeleka mahakamani? Wezi wako ndani Yona na kina Mramba wengine kina tibaijuka na Chenge magufuli amewanadi kuwa ni watu Safi sana kwa taifa la Tanzania. CCM hatuna hamu nayo. Mtu ni fisadi...
Chana cha umaskini na ufukara kwa watanzania. Chama ambacho kimeuza nchi aliyoikomboa kwa gharama Kubwa Mwl nnyerere? Sio hii CCM ya leo hii ya leo ni CCM ya wauaji walaji na mafisadi
Ahhaaaaaa huyu anayesema Masaburi ubungo nahisi anajaribu kujifikirisha me ni mkazi halisi wa ubungo Masaburi Hana kitu zaidi ya kununua watu ubungo hela zake tunakula cos kwa Muda wote wa yeye kuwa Meya amekuwa jeraha Kubwa kwetu. Hela tunakula kwake kura hatumpi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.