Recent content by Godlistenbaraka

  1. G

    Faida ya mabarafu kwenye recovery ya wachezaji

    Umeelezea kwa making na kwa ufasaha sana jinsi gani nguvu inazalishwa mwilin... Lakin kuna sehemu umewapotosha wasomaji.... Swali langu nauliza ...wachezazi wanaingiaga kwenye mapipa ya mabarafu baada ya mechi tu kuisha...iweje kwenye mechi watumie energy na nguvu kubwa alafu waje waingizwe...
  2. G

    DOKEZO Responded Kituo cha Polisi Wilaya ya Butiama chajengwa kwa Tsh. Milioni 802, kukamilika Desemba 2023

    Dah...kudadeki...nyumba imeka kama zakupanga...hyo nyumba mpka apo ukichanganya na hela ya plot aizidi million 63
  3. G

    Ni kama Dotto Biteko kaanza kupewa heshima zaidi ya uwaziri mkuu kuzidi Majaliwa, hii haiwezi kuleta msuguano?

    Ok.. Tuambie wew...kazi za naibu wazir mkuu Sasa maana naona jamaa anachokiaena aujaekewa kabisa
  4. G

    Ni kama Dotto Biteko kaanza kupewa heshima zaidi ya uwaziri mkuu kuzidi Majaliwa, hii haiwezi kuleta msuguano?

    Embu ka kimya ...naona ukishapata hicho kijimshahara unaona umefika
  5. G

    Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

    Kaka mtoto wa nyoka ni nyoka tu...elewa neno nyoka"...kengine ni kwamba wizara zake babaaaa wizara babbaaaa anazoongoza....mbona watanzania bado tupo na ulembukeni hvi au unaona Ile baby face yake basiii!! Unaona fresh mwadilifu sio. Magufuli alimpumzisha aujui kwanin alifanya hivyo...sabuni...
  6. G

    SI KWELI Naibu Waziri Mkuu amewekwa ili kuzuia kuvunjwa Baraza la Mawaziri

    Kaka, mim sijaelewa ni pengo lipi mama kaliona akaamua kumteuwa naibu waziri...
  7. G

    Hongera na pole Balozi Siwa. Je, utaiweza TISS au TISS itakuweza?

    Ila kka...kumbuka amepewa cheo kengine ....mama na yeye sio mjinga...anajua angemuacha mtaani ingekuwa soo so kampa ubaloz atoke nje kabisa ya Tz
  8. G

    Kikatiba Majukumu ya Mkuu wa Wilaya ni yapi hasa, kwanini afutwe kazi kwa mambo ya CCM?

    Tatizo la watanzania amtaki kusoma katiba yenu...nenda kasome majukumu ya DC alafu urudie iyo sababu ya Samia unayosema wew .alafu angalia kama iyo sababu ipo kwenye katiba nimekaa apa nakusubiria
  9. G

    Naomba tuweke rekodi sawa kuhusu kutumbuliwa DED na DC Mtwara

    Kaka najua unaipenda sana nchi yako....lakini najutia na kukusikitikia kwamba aujui kitu chochote kuhusu nchi yako...waache wanayoijua waipambanie iweze kuwa sawa
  10. G

    Rais Samia alitetemesha Taifa. Watu wabubujikwa machozi ya furaha utafikiri wamewekewa pilipili machoni

    Nipe point yako uliyotaka nielewe apo ..unanipotezea muda wakusoma headline za maendeleo na mageuzi
  11. G

    Padre Kitima: Kanisa Katoliki ni Taasisi kubwa yenye kila mizizi hadi ngazi ya kaya na hatubahatishi

    Nataka nijue unafanya Kazi gani na inakuingizia kipato gani
  12. G

    Padre Kitima: Kanisa Katoliki ni Taasisi kubwa yenye kila mizizi hadi ngazi ya kaya na hatubahatishi

    Tupayuke sana..wenyewe wanajua hilo ...so Wacha wajikwangue kutu kwanza
  13. G

    Mfumo wa kiulinzi wa Urusi, S-400 walipuliwa kizembe sana

    Mmh..kipengele Kwa warusi na BRISC
Back
Top Bottom