Kuna vingi usivyo vijua kuhusu uislam na ukatoriki utaushia kutukana tu!.. Jibu ni hilo Hilo kuwa ukatoriki ndiyo uliozaa uislam
Alafu wakatoriki sanamu wanazo na hata uislam sanamu pia wanazo haya hizo alama za mwezi na nyota kwenye misikiti yenu Huwa inamaanisha nin?
Ogopa Sana kuwa upande wa yule adui kazi ya shetani dunian ni kupotosha kazi ya MUNGU aliyoifanya au anayoifanya na Kitu pekee kitakacho ihukumu mbingu na dunia ni BIBLIA kwa kila mtu na ijara yake.
Tubu na uiamini injili bado ukiwa hai leo ukifa Leo huu ujinga hutapata muda wa kuutubu
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.