Nahitaji kuempower vijana waliokata katamaa hasa wale waliomaliza vyuo na wamekosa ajira.
Nisaidie mkuu sina idea yoyote ndo mana nimekuja jukwaani kuomba msaada
Nahitaji kuempower vijana waliokata katamaa hasa wale waliomaliza vyuo na wamekosa ajira.
Nisaidie mkuu sina idea yoyote ndo mana nimekuja jukwaani kuomba msaada
Salaam wakuu!
Sisi sote ni watanganyika na wazanzibari tunaoishi kwa kupendana kwa kudumisha udugu wetu.
Naomba mwenye sample ya andiko la mrad wowote anisaidie.
Kama mtanganyika nahitaji kuandaa andiko langu ili niweze kujitafutia walau riziki yangu.
Naomba msaada tfadhali.
Baada ya matokeo ya leo aliyoyapata Yanga watu wengi tutapata misongo na depression kwa sababu hatukuzoea.
Rai yangu kwa watanzania wote, tuchukue tahadhari ya hali ya juu tusije kuleta maafa makubwa zaidi ya haya tuliyoyapata.
Habari zenu mabibi na mabwana.
Kama ilivyo ada napenda kuposti vya manaa siku ya ijumaa maana ndo weekend tunaianza.
Leo katika pita pita zangu wakuu, nikakutana na wazee wa umri mkubwa kidogo nadhani ni wasitaafu kwa kuwaangalia muonekano wao.
Wakawa wamekaa na kupeana habari zao kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.