Recent content by godknows

  1. G

    Depression inaniua

    Atakuwa mtu wa Iringa huyu
  2. G

    Mwenye mfano wa andiko la mradi wowote naomba anisaidie

    Hapa ni kuwapa ushauri wa kisaikolojia na kuwapa awards kwa wale ambao wamejituma kufanya kazi ili kuwainspire wengine.
  3. G

    Mwenye mfano wa andiko la mradi wowote naomba anisaidie

    Nahitaji kuempower vijana waliokata katamaa hasa wale waliomaliza vyuo na wamekosa ajira. Nisaidie mkuu sina idea yoyote ndo mana nimekuja jukwaani kuomba msaada
  4. G

    Mwenye mfano wa andiko la mradi wowote naomba anisaidie

    Nahitaji kuempower vijana waliokata katamaa hasa wale waliomaliza vyuo na wamekosa ajira. Nisaidie mkuu sina idea yoyote ndo mana nimekuja jukwaani kuomba msaada
  5. G

    Mwenye mfano wa andiko la mradi wowote naomba anisaidie

    Asante mkuu nimefanya hivyo lakini nafsi yangu inaniambia hapa ni uhakika sana
  6. G

    Mwenye mfano wa andiko la mradi wowote naomba anisaidie

    Salaam wakuu! Sisi sote ni watanganyika na wazanzibari tunaoishi kwa kupendana kwa kudumisha udugu wetu. Naomba mwenye sample ya andiko la mrad wowote anisaidie. Kama mtanganyika nahitaji kuandaa andiko langu ili niweze kujitafutia walau riziki yangu. Naomba msaada tfadhali.
  7. G

    Msaada

    Shukrani mkuu kwa maelezo mazuri
  8. G

    Msaada

    Mkuu wewe wa kuongea maneno yote haya.
  9. G

    Msaada

    Wakuu naomba kuulizia habari za huyu jamaa maana nimeona anatrend sana. Aliye na taarifa nae tafadhari.
  10. G

    Tahadhari barabarani

    Ni raha kama ukiwa wakishua
  11. G

    Tahadhari barabarani

    Baada ya matokeo ya leo aliyoyapata Yanga watu wengi tutapata misongo na depression kwa sababu hatukuzoea. Rai yangu kwa watanzania wote, tuchukue tahadhari ya hali ya juu tusije kuleta maafa makubwa zaidi ya haya tuliyoyapata.
  12. G

    Mtumishi mwaminifu

    Tafuta hela huyu mtumish asiwe na kiburi kwako unapompa maagizo
  13. G

    Mtumishi mwaminifu

    Mimi nilikuwa sijui
  14. G

    Mtumishi mwaminifu

    Habari zenu mabibi na mabwana. Kama ilivyo ada napenda kuposti vya manaa siku ya ijumaa maana ndo weekend tunaianza. Leo katika pita pita zangu wakuu, nikakutana na wazee wa umri mkubwa kidogo nadhani ni wasitaafu kwa kuwaangalia muonekano wao. Wakawa wamekaa na kupeana habari zao kwamba...
Back
Top Bottom