Hilo mbona linafahamika na kipindi wanampinga wananchi waliwajia juu kwasababu walikuwa bado hawajamfahamu bosi kubwa ni kinyonga mwenye rangi gani. Lakini kwa sasa hili suala linashughulikiwa ndio maana #AzimioLaZanzibar safari hii wananchi wameishaanza kuunga mkono.
1. Hao waume za watu hawana upendo kwako isipokuwa umekuwa faraja kwenye ndoa zao ili ziendelee kuwa na amani kwahyo wanakutumia tu.
Na wanajua wewe unahitaj sana kutunzwa na wao ndio maana wanaomba uwazalie kwasababu hutokuwa na jeuri tena wao ndio watakaoamua juu ya maihitaji yako baada ya...
Pole sana mkuu.
Mambo ya ndoa magumu.
Tafakari nafsi yako kama inaweza kumsamehe tena bila kukumbuka. Kama inaweza msamehe kama yeye pia atajutia kwa dhati matendo hayo.
Kama nafsi haiwezi achana nae kabisa uendelee na maisha yako.
Maisha ndio haya haya kama ndoa haikupi furaha kwanin uing'ang'anie.
Unajua watoto wa kike wengi hawalijui hili:
Kadri mtoto wa kike anavyokuwa au/na anavyoongeza kiwango cha elimu ndivyo anavyopunguza idadi ya wanaume wa kuwa nao.
Mwanaume wa umri wako anaweza kuoa mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 18 lakin wewe huwezi olewa na kijana wa umri huo.
Tafatuta wale...
Nafikiri roho ya kimaskini ndio chanzo cha kula nauli. Ukiwaza kitajiri nauli ni ela ndogo isiyoweza kukutoa kimaisha. Ndio maana wengi wao hawafanikiwi kwasababu wanaishi na manung'uniko ya waume walio walia nauli. Kama humuitaji mtu mwambie wazi na nauli yake kataa asikutumie.
"Ela ya Mwanaume...
Kila ka kheri huko unakokuita kwa ukweli. Umewaangusha wananchi wako. Tunaamini watu wa kabila lako ni majasiri lakini wewe umekubali kuwa bidhaa ununuliwe.
Anyway inawezekana hajui kupika. Ni bora umuulize kana anajua kupika ili kama hajui umfundishe. Otherwise, kama anajua kupika basi huyo ni mvivu kwa 100% kama ulikuwa na mipango ya kuwa mke sitisha. Jilie vyako tu kisha achana nae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.