Kuna baadhi ya wanasayansi husema kuwa mtoto anapozaliwa anakua ni tablalasa ( empty head) , lakini pia mtoto anapozaliwa kuna vitendo anavifanya bila kufundishwa mf . Kunyonya
Je ukweli ni upi apa wana JF
. 1: IQ ni intelligence quotient ambayo kwa tafsir fupi ni uwezo wa kuchambua na kuhefazi kumbukumbu akillini mwa mtu mf. Mtu mwenye IQ kubwa huangaliwa sana katika Mathematics
Pia kuna tofauti kubwa kati ya Akili na maarifa hiyo ni mada nyingine , ila IQ ipo katika Akili
Kwa kufuatalia tunakuja kujua kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adam na lilith na baadae kuja hawa ?
Kwa anaefaham kuhuc historia hii tubadilishane mitazamo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.