Nani aligundua kipimo cha IQ?

believer

JF-Expert Member
Dec 22, 2012
633
213
Tangu kuumbwa kwa Dunia, kumeshuhudiwa gunduzi nyingi sana zingine zikiwa kutisha. Najiuliza ni nani aligundua namna ya kupima IQ.

Tunaambiwa IQ ni uwezo wa mtu wa akili na ufahamu, inapima kwa namba, maana yake ni kiwango cha uwezo wa kutatua changamoto kwa upeo, uharaka na pengine kwa urahisi kuliko mwingine kwa namna ambayo inaweza kupimika (Tafsiri hii ni kwa mujibu wangu)

Aliyegundua IQ ni nani?
Ilikuaje?
Aliyegundua kupima IQ yeye alikuwa na IQ ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu kuumbwa kwa Dunia, kumeshuhudiwa gunduzi nyingi sana zingine zikiwa kutisha. Najiuliza ni nani aligundua namna ya kupima IQ.

Tunaambiwa IQ ni uwezo wa mtu wa akili na ufahamu, inapima kwa namba, maana yake ni kiwango cha uwezo wa kutatua changamoto kwa upeo, uharaka na pengine kwa urahisi kuliko mwingine kwa namna ambayo inaweza kupimika (Tafsiri hii ni kwa mujibu wangu)

Aliyegundua IQ ni nani?
Ilikuaje?
Aliyegundua kupima IQ yeye alikuwa na IQ ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
IQ tetst ni vitu watu walijitungia tu.

Katika kitabu kilichoshinda nishani ya Pulitzer 1997 cha Profesa Jared Diamond "Guns, Germs and Steel: The Fates of Human Societies" muandishi aliupangua vizuri umuhimu wa IQ tests, na kuonesha kuwa ziko biased kimazingira.

Alieleza watu wa misituni Papua New Guinea wakioewa IQ tests za watu wa Manhattan watafeli, kwa sababu hizo tests haziafikiani na mazingira yao.

Na watu wa Manhattan wakioewa test ya kuishi misituni huko Papua New Guinea, watafeli, kwa sababu watakuwa wanetoleea nje ya mazingira yao.

Sasa, hapo hao watu wa Papua New Guinea kushindwa hiyo IQ test ndiyo ina maana hawana akili?

Kwa zaidi, tafuta hicho kitabu kama hujasoma. Kimepangua habari za IQ tests vizuri sana.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
mpaka Leo sijuagi SI Unit ya IQ,halaf sjuiagi kinachopimwa ni nini ili kujua IQ ya mtu flan,mwenye masters anaweza kuzidiwa IQ na standard seven,mda mwingine haya mambo ni upuuzi mtupu

Iq mtu anazaliwa nayo haina uhusiano wowote na knowledge unayo acquire darsani ndio maana unaweza kuta darasa la saba akampita mwenye masters iq.

Usichanganye intelligence and knowledge mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iq mtu anazaliwa nayo haina uhusiano wowote na knowledge unayo acquire darsani ndio maana unaweza kuta darasa la saba akampita mwenye masters iq.

Usichanganye intelligence and knowledge mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
haya,kinachopimwa au kuangaliwa au kuzingatiwa ili kudetermine IQ ya mtu ni kitu gani???kwani intelligence na knowledge haviwezi kuwa affected either positively or negatively na external factors kama elimu,interaction etc!!?????
 
🤝

IQ tetst ni vitu watu walijitungia tu.

Katika kitabu kilichoshinda nishani ya Pulitzer 1997 cha Profesa Jared Diamond "Guns, Germs and Steel: The Fates of Human Societies" muandishi aliupangua vizuri umuhimu wa IQ tests, na kuonesha kuwa ziko biased kimazingira.

Alieleza watu wa misituni Papua New Guinea wakioewa IQ tests za watu wa Manhattan watafeli, kwa sababu hizo tests haziafikiani na mazingira yao.

Na watu wa Manhattan wakioewa test ya kuishi misituni huko Papua New Guinea, watafeli, kwa sababu watakuwa wanetoleea nje ya mazingira yao.

Sasa, hapo hao watu wa Papua New Guinea kushindwa hiyo IQ test ndiyo ina maana hawana akili?

Kwa zaidi, tafuta hicho kitabu kama hujasoma. Kimepangua habari za IQ tests vizuri sana.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Naunga hoja ya mtoa post:Ni Nani mgunduzi wa IQ-test?hata Nina dukuduku kumfahamu na vigezo alivyotumia
 
Naunga hoja ya mtoa post:Ni Nani mgunduzi wa IQ-test?hata Nina dukuduku kumfahamu na vigezo alivyotumia
. 1: IQ ni intelligence quotient ambayo kwa tafsir fupi ni uwezo wa kuchambua na kuhefazi kumbukumbu akillini mwa mtu mf. Mtu mwenye IQ kubwa huangaliwa sana katika Mathematics

Pia kuna tofauti kubwa kati ya Akili na maarifa hiyo ni mada nyingine , ila IQ ipo katika Akili
 
. 1: IQ ni intelligence quotient ambayo kwa tafsir fupi ni uwezo wa kuchambua na kuhefazi kumbukumbu akillini mwa mtu mf. Mtu mwenye IQ kubwa huangaliwa sana katika Mathematics

Pia kuna tofauti kubwa kati ya Akili na maarifa hiyo ni mada nyingine , ila IQ ipo katika Akili
Akili ni nini na inapatikana wapi?
 
tafsiri ya IQ si tatizo,tanataka kumfahamu aliyegundua kipimo Cha uwezo wa IQ kwa mtu na mtu

. 1: IQ ni intelligence quotient ambayo kwa tafsir fupi ni uwezo wa kuchambua na kuhefazi kumbukumbu akillini mwa mtu mf. Mtu mwenye IQ kubwa huangaliwa sana katika Mathematics

Pia kuna tofauti kubwa kati ya Akili na maarifa hiyo ni mada nyingine , ila IQ ipo katika Akili
 
Akili ni kiuongo cha binadam kilichopo ndani ya kichwa ambacho huendesha shughuli za ufahamu mf . Kuona , kushika na kusikia
Kuna tofauti gani ya ubongo na akili?maana kwa maelezo yako akili ipo ndani ya kichwa na wanabailojia wanasema kwamba ubongo upo ndani ya fuvu (kichwa) sasa je? Hivi vitu viwili vipo kwa pamoja? Au kila kimoja kipo kivyake? Na kama akili inaongoza shughuli za ufahamu je? Kazi ya ubongo ni nini?
 
Kuna tofauti gani ya ubongo na akili?maana kwa maelezo yako akili ipo ndani ya kichwa na wanabailojia wanasema kwamba ubongo upo ndani ya fuvu (kichwa) sasa je? Hivi vitu viwili vipo kwa pamoja? Au kila kimoja kipo kivyake? Na kama akili inaongoza shughuli za ufahamu je? Kazi ya ubongo ni nini?

Akili ipo ndani ya ubongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom