Recent content by Godian Ngunguti

  1. Godian Ngunguti

    Kilosa: Binti wa miaka nane aliyeyaanza maisha ya uyatima ingali wazazi wake bado wapo hai

    Upo sahihi mkuu,mimi nilipita tu hapo nikitokea kwenye safari zangu ndipo nilipokutana na mtoto huyu. Ni Kilosa hapo karibu na kambi ya Yapi Merkezi sijajua panaitwaje hasa kwa jina lake la utambuzi.
  2. Godian Ngunguti

    Kilosa: Binti wa miaka nane aliyeyaanza maisha ya uyatima ingali wazazi wake bado wapo hai

    Karibu na barabara ya mradi (SGR) Karibu kabisa na camp ya YAPI MERKEZI
  3. Godian Ngunguti

    Kilosa: Binti wa miaka nane aliyeyaanza maisha ya uyatima ingali wazazi wake bado wapo hai

    Nimeku PM madame kwa maelezo zaidi. Maana kuna taarifa binafsi zaidi za mtoto na nyingine ambazo nmeona sio sawa kuziweka hapa
  4. Godian Ngunguti

    Kilosa: Binti wa miaka nane aliyeyaanza maisha ya uyatima ingali wazazi wake bado wapo hai

    Ninaweza kumpa mawasiliano ya huko Kilosa, mimi nimepita njia tu wala siyo mkazi wa hapo Kilosa
  5. Godian Ngunguti

    Kilosa: Binti wa miaka nane aliyeyaanza maisha ya uyatima ingali wazazi wake bado wapo hai

    Ngoja tuwasiliane na mamlaka za huyo mtoto ili kuona huo uwezekano
  6. Godian Ngunguti

    Kilosa: Binti wa miaka nane aliyeyaanza maisha ya uyatima ingali wazazi wake bado wapo hai

    Maisha ya binadamu ni fumbo lisilo na jibu. Wakati wengine wakiwa wanakula na kusaza,wengine hawaijui hata dakika moja ijayo mbele yake watakula nini na kulala wapi. Ndivyo ilivyo kwa binti mdogo wa makadirio ya miaka nane anayeishi wilaya ya Kilosa anavyoishi. Inasikitisha sana. Wakati...
  7. Godian Ngunguti

    STAHIKI ZA MTUMISHI ALIYEHAMISHWA

    Wanandugu, Habari. Kutokana na muendelezo wa kuhamisha watumishi toka sehemu A kwenda sehemu B hasa walimu toka shule moja kwenda nyingine,inaweza kuwa toka katika shule za misingi kwenda shule nyingine ya msingi au kutoka sekondari kwenda sekondari au pia shule za misingi,ninaomba mwenye...
  8. Godian Ngunguti

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo manyoni singida nije songea manispaa. (Sec) 0788448728
  9. Godian Ngunguti

    Askari ajiua kwa kujipiga Risasi Mdomoni

    Mashaka yangu pia yapo hapo. Kama ni hivo,huyo alikuwa ni dereva tu wa OCD,kusema tu nasafiri na OCD anaomba silaha akapewa. Je angekuja kwa mfano mke wa mkubwa zaidi na kusema anasafiri na big boss si angepewa hata silaha mbili.. !? Nadani wao wenyewe wanajua taratibu zao za kazi.... Labda...
  10. Godian Ngunguti

    Askari ajiua kwa kujipiga Risasi Mdomoni

    Kusema ukweli kuna aina ya vifo ambayo huacha majonzi na simanzi sana kwa ndugu na jamaa zetu. Inaumiza kweli kweli kwa ndugu zake na jamaa zake. Ulazwe pale ambapo unastahili kamanda.
  11. Godian Ngunguti

    Hii ndo timu ya kushangilia bila presha

    Eden Hazard....(cfc)
  12. Godian Ngunguti

    Walezi wa Nasra wabadilishiwa mashitaka, sasa ni mauaji

    Kwamfano wewe ndiye mwanasheria....(wakili) Je,unaweza ukatumia taaluma yako kuutetea unyama huu.? Uanasheria sio taaluma ya kupingana na sheria,tumia taaluma yako katika kutetea ukweli. Mungu awe nawe.
Back
Top Bottom