Kila chama kina utaratibu wake kuna sababu gani ya kufanya mabadiliko wakt MWENYEKITI chadema anafaa wana chama wana imani nae km ni hoja kuwa Chadema hakuna demokrasia mbona hamhoji Mh.Shy rose Bhanji kuenguliwa ndani ya ccm bila kumhoji asiendee kutetea nafasi yake ya ubunge ktk bunge la...
Anaewaza mabadiliko Chadema ya MWENYEKITI swali unataka kugombea? Gombea tu lakini usilazimishe kile unachokitaka wewe! Km nafasi hiyo mh.Mbowe anafaa kuna sababu gani ya mabadiliko unaweza Demokrasia mbona ndani ya ccm hauzungumzii Demokrasia shy rose bhanji anahoji kuenguliea bila kuhojiwa...
Magufuli kuzuia mchanga wa DHAHABU sio swala la kupongeza bila kuangalia madhara yake madhara yake ni kushitakiwa Serikali na kuingiza hasara ya kulipa fidia kwa kodi zetu wtz hivi Serikali inalipwa mrahaba kwnn mwekezaji akitaka kupeleka kwake umzuie? Wanapotoa DHAHABU %20 hadi25 DHAHABU...
Dr mwakyembe hana kifua cha kutunza siri kumbuka alivyomtumia Dr slaa kwa kumuandalia documents za kubumba mbaya zaidi aliingia nae ktk hotel aliyofanyia mazungumzo na wandishi wa habari Dr slaa wakipitia mlango wa uani wote mwaky na slaa kisha Dada alieona wakt mwaky akimkabidhi documents hizo...
Mh.Manji Hajaficha Bali amehifadhi maana fedha zake ni halali huenda Haya yanayompata ni MATOKEO ya taarifa hizo ni visasi tu lakini ikumbukwe kuwa kila mtz anahaki ya kuhakikisha usalama wa Mali yake kuna tatizo gani kuweka pesa zako sehemu ambayo ni salama tena pesa hiyo inakuwa na benefit.
Yaani wewe unaongea tu bila kuwa na utafiti wa aina yoyote unampinga ZITTO kwa sababu ya kiitikadi acha kuwa mtumwa wa fikra onyesha uzalendo ZITTO kaongelea mambo yenye tija kwa Taifa ambayo serikali imeyapuuza na kuona hayafai lakini yamesababisha upotevu wa pesa nyingi sana,serikali kimya...
Kwani nani hajui kuwa Viongozi wetu wengi na wanaccm wanavyeti vya kuchakachua hata Mbunge wa NZG vjjn Kigwangalla sio majina yake yeye anaitwa Hamisi.NASSORO.Bagaire.hayo majina mengine ya Andrew.Hamisi Kigwangalla anajua yeye alikoyayoa! Sio ajabu Akina makonda nao wakawa ktk mfumo...
Tafakari maovu yalitekelezwa yakihusisha Mali zetu wtz ni mengi sana unadhani ni kitu gani kifanyike? Ccm haiko tayari kukomesha ufisadi kw7b hauwezi komesha ufisadi pasipo mabadiliko ya sheria na katiba mpya ndio ccm haitaki kusikia kabisa Viongozi wamewekewa kinga za kuwafanya Miungu watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.